Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kenya inabidi ijifunze toka kwa Ethiopia. Iliweza vipi kuingiza majeshi yake Somalia bila kushambuliwa nyumbani? Kwanini ilitoa majeshi yake? Je walibuni mpango upi kujilinda bila kuingia Somalia. Haya maswali ni muhimu kwasababu mnapiga na jamii inayoshabikia ugaidi na yenye wafuasi wengi na uwezo hadi kuwabadilisha wanajamii wachache wakenya kufanya vitendo vya ugaidi dhidi ya jamiii yao kwa kisingizo cha dini hiyo ni rai yangu tu.Onyo: Usifuate link kama huna roho ya chuma
https://cnyakundi.com/exclusive-gra...shabaab-killed-by-a-drone-strike-in-jubaland/
Alshabab walikuwapo hapo nyuma not now. The current goverment iko makini kidogo.Hao hao Alshababu wako ndani ya serikali ya Somalia nimetahadharisha tena na tena ila mimi nimesema ila ngoja muda ndio utakao ongea Majeshi ya Serikali Mchana Usiku ni Alshababu
Fanya uchunguzi fatilia habari
😂😂😂😂😂😂😂kitu usichokijua ni usiku wa giza acha mihemuko huyo Raisi mwenyewe Somalia Mchana ni raisi usiku ni Alshabaabu mamlaka yake ni sehemu Chache yenye makabila yake basi.goverment iko makini kidogo.
Safi sana safi sana hii ndiyo dawa ya terrorist. Hapa sasa waende wakasema na mola waoKwa wale ndugu zangu wa free basics picture hizo hapo!!!
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kwa wale ndugu zangu wa free basics picture hizo hapo!!!
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Inaonekana wewe ni mtu wa imani kali...Madege Yale yanayobeba Makombora Na kwenda Middle East yanaenda kuangamiza Mitende Na ngamia?
Wazungu wameshajua athari zake ndio sababu sasa hawataki Nchi zao kwenda Tena kuua wengine ili nao waishi salama
Kwanini Japan haishambuliwi Na Magaidi ?
Hahah kama nawaona wanavyokukuluka kuwavunja bikra mabikra 72 wenye macho kama vikombe waliopewa zawadi huku wakiburudika na mvinyo safii unaotiririka kwenye vijito vya peponi!Safi sana safi sana hii ndiyo dawa ya terrorist. Hapa sasa waende wakasema na mola wao
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Ethiopia na Wasomali wanautamduni mmoja asilimia 56 ya Waethiopia ni Waisilamu lakini Waithiopia walichokifanya ni kuuelewa Mgogoro wa Somalia,Halafu Mkoa wa wa Wasomali Ulioko Ethiopia naumepewa Autonomy yaani wasomali wa etiopia wanajitawala wenyewe Akitokea gaidi wanamdhibiti wenyewe.Kenya inabidi ijifunze toka kwa Ethiopia. Iliweza vipi kuingiza majeshi yake Somalia bila kushambuliwa nyumbani? Kwanini ilitoa majeshi yake? Je walibuni mpango upi kujilinda bila kuingia Somalia. Haya maswali ni muhimu kwasababu mnapiga na jamii inayoshabikia ugaidi na yenye wafuasi wengi na uwezo hadi kuwabadilisha wanajamii wachache wakenya kufanya vitendo vya ugaidi dhidi ya jamiii yao kwa kisingizo cha dini hiyo ni rai yangu tu.
Navy seals wameshauwawa na alshababu French Special forces wameshauwawa na Alshababu ila SAS ndio kiboko ya Alshababu hawa jamaa ni kiboko sio mchezo!but CIA ndio wametoa mafunzo. Somalia si kama 1992
Sisi huku huwa tunawamaliza kabisa hatuwapeleki mahakamani. Huyu mshenzi hawezi kuwa TZ atakuwa nje ya TZ. Sisi hatuchezi na nyani kabisa!Shetani mkubwa wewe. Tanzania intelligence waanze kukufanyia uchunguzi. Utakuwa Shababi aliyekwenda Somalia kupata mafunzo. Watanzania mjichunge na mashetani kama hawa, watawageuka hivi karibuni. Jamaa amechukizwa sana kuona Al-Shabab wakiwa nyama choma, mimi naomba tu nipewe ugali niteremshe na hio nyama choma iliyoiva kwa moto wa missile ya drone ya kiamerika. Hapana cheza na drone za America, utakuwa kitoweo shenzi wewe Shabab sympathizer.
He can be abroad!! TZ tukimjua tunauwa hatupeleki mahakamani.He must be a member of an alshabaab cell in tanzania, remember the suicide bomber was in exile in tanzania for some time, huyu achunguzwe kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app