Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja
Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7
Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini
Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia
Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu
Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa
Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua
Na kama unajiona huna mtaji tafuta vijana wenzako watatu hadi wa nne ambao mnajua kupiga kazi yaani kazi sio mabishoo njooni huku ila kikubwa mjue kujizamini ishu kubwa huku ni misosi,maigreshen, yaani kodi ya kichwa kila jmos 5000 kwa kila mchimbaji ukiweza hayo wee njoo upige pesa mapori kibao yanataka watu kulala maskini kuamka na tumilion kazaa kawaida kuhusu kulala usiwaze mwanaume hashangai pakulala gest zipo matulubai ya kujengea kambi yanauzwa
Kikubwa jizile sio unakuja huku anawaza hom
Kwa wale wapenda starehe huku ndio kuzimu utawakanyaga mpaka urud bila pesa kwenu kikubwa ujue kuziotea
Si unakuja huku na gundu lako utasota mpaka unione mbaya osha nyota alafu njoo
Kama unajiona huna nia wala lengo usiwakatishe tamaa wenzako kwa swaga za utapeli,mana ukizingua nitakuzingu sipo hapa kwaajili ya kukupeti pet, sifa ya mtoto wa kiume ni kukaza mafanikio sio kutuma buku ushinde m3 mtoto wa kiume kazaaaa
Karibu
Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7
Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini
Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia
Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu
Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa
Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua
Na kama unajiona huna mtaji tafuta vijana wenzako watatu hadi wa nne ambao mnajua kupiga kazi yaani kazi sio mabishoo njooni huku ila kikubwa mjue kujizamini ishu kubwa huku ni misosi,maigreshen, yaani kodi ya kichwa kila jmos 5000 kwa kila mchimbaji ukiweza hayo wee njoo upige pesa mapori kibao yanataka watu kulala maskini kuamka na tumilion kazaa kawaida kuhusu kulala usiwaze mwanaume hashangai pakulala gest zipo matulubai ya kujengea kambi yanauzwa
Kikubwa jizile sio unakuja huku anawaza hom
Kwa wale wapenda starehe huku ndio kuzimu utawakanyaga mpaka urud bila pesa kwenu kikubwa ujue kuziotea
Si unakuja huku na gundu lako utasota mpaka unione mbaya osha nyota alafu njoo
Kama unajiona huna nia wala lengo usiwakatishe tamaa wenzako kwa swaga za utapeli,mana ukizingua nitakuzingu sipo hapa kwaajili ya kukupeti pet, sifa ya mtoto wa kiume ni kukaza mafanikio sio kutuma buku ushinde m3 mtoto wa kiume kazaaaa
Karibu