Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Ndenji five

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
1,985
Reaction score
3,109
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja

Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7

Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini

Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia

Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu

Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa

Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua

Na kama unajiona huna mtaji tafuta vijana wenzako watatu hadi wa nne ambao mnajua kupiga kazi yaani kazi sio mabishoo njooni huku ila kikubwa mjue kujizamini ishu kubwa huku ni misosi,maigreshen, yaani kodi ya kichwa kila jmos 5000 kwa kila mchimbaji ukiweza hayo wee njoo upige pesa mapori kibao yanataka watu kulala maskini kuamka na tumilion kazaa kawaida kuhusu kulala usiwaze mwanaume hashangai pakulala gest zipo matulubai ya kujengea kambi yanauzwa
Kikubwa jizile sio unakuja huku anawaza hom

Kwa wale wapenda starehe huku ndio kuzimu utawakanyaga mpaka urud bila pesa kwenu kikubwa ujue kuziotea
Si unakuja huku na gundu lako utasota mpaka unione mbaya osha nyota alafu njoo

Kama unajiona huna nia wala lengo usiwakatishe tamaa wenzako kwa swaga za utapeli,mana ukizingua nitakuzingu sipo hapa kwaajili ya kukupeti pet, sifa ya mtoto wa kiume ni kukaza mafanikio sio kutuma buku ushinde m3 mtoto wa kiume kazaaaa

Karibu
 
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja

Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7

Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini

Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia

Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu

Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa

Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua
Utakuwa panya-road wa kawe wewe
 
Unaandika ume panic sana huwez kuja tu umekurupuka hvo alafu unaongelea pesa za watu
Mkuu kwenye fursa siwezi tumia maneno laini kama matapeli hapa nimetoa njia ukiwa unamashaka na unataka kuwekeza kabla hujatoa pesa yako na kupeleka eneo husika na uzur watu wakianza kaz huwezi toa pesa kwa pamoja na uzuri ukifikia hatua flan mgodi hujiendesha mwenye ndio maana sitaki tubembelezane kwa maneno laini yasio na tija kwa faida yako mwenyewe kwanza utakapo tajirika mi utanijua mi nikama daraja tu vuka niache waje wengine wapite
 
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja

Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7

Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini

Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia

Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu

Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa

Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua
🤣🤣🤣🤣Msumbiji Tena??is too risk Mkuu tena kubwa mno!!Watanzania ni watu wa English...ata kama awajasoma lakini kuna vituneno wanavielewa .Kireno !!! Na Police wakule walivyo wanoko na njaa na wasivyokuwa na huruma??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msumbiji Tena??is too risk Mkuu tena kubwa mno!!Watanzania ni watu wa English...ata kama awajasoma lakini kuna vituneno wanavielewa .Kireno !!! Na Police wakule walivyo wanoko na njaa na wasivyokuwa na huruma??
[emoji23][emoji23][emoji23] uwoga ndio umasikini wenyewe,uzuri wake sio kule ndani ndani ni huku nje nje ambapo asilimia kubwa utakutana na watanzania wenzako
Kingine hili eneo nitalokupeleka watu wake wana uelewa mdogo sana wa mambo kana kwamba ukitumia akili yako ya Kisomi utapiga pesa mpaka useme saiv inatosha coz eneo ni kubwa ila hakuna mwekezaji wa maana kule kulipata jiwe la gram400 kawaida sana tena ukiwa na teknolojia yaan mtambo wa kupima mwamba aisee utakuja unisahau na uzuri hakuna mambo ya vibali wala kodi we chimba kauze
 
Mkuu kwenye fursa siwezi tumia maneno laini kama matapeli hapa nimetoa njia ukiwa unamashaka na unataka kuwekeza kabla hujatoa pesa yako na kupeleka eneo husika na uzur watu wakianza kaz huwezi toa pesa kwa pamoja na uzuri ukifikia hatua flan mgodi hujiendesha mwenye ndio maana sitaki tubembelezane kwa maneno laini yasio na tija kwa faida yako mwenyewe kwanza utakapo tajirika mi utanijua mi nikama daraja tu vuka niache waje wengine wapite
Mkuu hujaandika Kwa Nia mbaya navoisi ila uwasilishaji WAKO unatoa mashaka sana itakuwa ngumu kupata mzamin unaemtaka
 
Ni Mkoa gani wa msumbiji boss.

Wabongo maneno mengi. Mtoa mada kaeleza kila kitu we kama hutaki unaacha tu alafu acha ku take risk uendelee kula kwa shemeji.

Ku take risk ni hatua ya kwanza kufanikiwa
Ni mpakani na ukanda wa ziwa nyasa ila hauvuki ziwa kuna barabara inaingia hadi huko huko kwa kupitia wilaya ya mbinga hata watu wa upande huo mahitaji yao yote wanachukulia mbinga/ruvuma , maana machimbo yalipo hadi ufike Msumbiji yenyewe ufanye kaz kidogo coz hakuna usafiri wa kwenda huko kutokea hapo machimbo na hakuna barabara ya maana ya kusema itapita gari kubwa ni mwendo wa milima
 
Mkuu hujaandika Kwa Nia mbaya navoisi ila uwasilishaji WAKO unatoa mashaka sana itakuwa ngumu kupata mzamin unaemtaka
Kikubwa sihitaji mzamini ndio maana siitaji tubembelezane kana kwamba naomba kazi nimetoa hiyi kwa anaetaka atanicheki asietaka
saivi ruvuma kuna mahindi so aende huko na hela yake ajumue apeleke mtwara atapiga pesa mkuu kwenye michongo ya pesa hawabembelezani Mkuu
 
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja

Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7

Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini

Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia

Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu

Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa

Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua
Too good to be true kuna gharama ambazo ni fixed inahitaji pesa zaidi ya kulipa vijana kusaga mawe, kuozesha mchanga ili upate hiyo dhahabu.
Kwa mtu ambaye ashafanya hii kitu ataelewa kuwa post yako ni too good to be true
 
Back
Top Bottom