Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Mwanamke anaweza kuwekeza kwenye fursa hii? Au ni Risky
 
Mwanamke anaweza kuwekeza kwenye fursa hii? Au ni Risky
Ukipata mtu sahihi wa kukusimamia hakuna risk Mkuu maana we kazi yako kuangalia tu kazi zinavyofanyika kikubwa upate mzoefu wa hizo sehemu
 
Hakuna hasara mkuu Naona hujatumabia kuwa tunaweza hata kukosa nauli ya kurudia ,so tujiandae kiakili
Hili si la kuulizana unapowekeza lazima ujue faida na hasara haitakusumbua ila karibu sana
 
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja

Kikubwa ambacho nitakusaidia kukuunganisha na ml mwenye eneo atakupa eneo kwa makubaliano haya 3% ya faida utayopata itaenda kwa mwenye eneo nikimaanisha kama mgodi wako utatoa mifuko kumi kwa siku, mfano yenye ghamu 30 mwenye eneo yake mifano mitatu ww utabaki na 7

Mimi nitakusaidia kukutafutia vijana wewe utasimama kama mzamini

Kama upo tayari njoo utengeze pesa sio unamtaji alafu unakaa nao tu hujui cha kufanyia

Watu ambao nitawasaidia ni wale wenye mitaji na wenye lengo la kuwekeza kwenye dhahabu

Kama hujanielewa uliza swali nitakujibu ila kuna vingine siwezi kuviweka hapa

Location: Msumbiji
Hakuna ujanja ujanja wala utapeli lengo vijana wa kitanzania tupige hatua

Na kama unajiona huna mtaji tafuta vijana wenzako watatu hadi wa nne ambao mnajua kupiga kazi yaani kazi sio mabishoo njooni huku ila kikubwa mjue kujizamini ishu kubwa huku ni misosi,maigreshen, yaani kodi ya kichwa kila jmos 5000 kwa kila mchimbaji ukiweza hayo wee njoo upige pesa mapori kibao yanataka watu kulala maskini kuamka na tumilion kazaa kawaida kuhusu kulala usiwaze mwanaume hashangai pakulala gest zipo matulubai ya kujengea kambi yanauzwa
Kikubwa jizile sio unakuja huku anawaza hom

Kwa wale wapenda starehe huku ndio kuzimu utawakanyaga mpaka urud bila pesa kwenu kikubwa ujue kuziotea
Si unakuja huku na gundu lako utasota mpaka unione mbaya osha nyota alafu njoo
M3 ?
 
Nimebanwa na mafiiiii!

Mbrrrrr mbrrr mbrrr

Kammoon hapigwi mtu hapa kizembe!
Kweli hapigwi mtu nimeona ndio shida ya kuishi nchi zenye utapeli watu huwaza kutapeliwa tu we unazan nikitaka kukutapeli nashindwa? Tena nakupa nafasi unipe mpaka muda gani niwe nimekupiga
 
Kweli hapigwi mtu nimestuka
Mkuu Mbona una roho mbaya kiasi hiki. Watu tumebanwa na mafiiiii bado tu unataka kututapeli. Kwanini usilime tu mahindi? Sasa hivi mahindi gunia Hadi laki tatu. Hela inapatikana kwa kufanya kazi siyo blah blah jamvin.

Nataka ufanye kazi siyo upigaji.

Sauh'waaah?
 
Mkuu Mbona una roho mbaya kiasi hiki. Watu tumebanwa na mafiiiii bado tu unataka kututapeli. Kwanini usilime tu mahindi? Sasa hivi mahindi gunia Hadi laki tatu. Hela inapatikana kwa kufanya kazi siyo blah blah jamvin.

Nataka ufanye kazi siyo upigaji.

Sauh'waaah?
Hivi kwanini unakuwa na mawazo ya ajabu kiasi hiko hebu pitia kwanza nyuzi zangu zilizopita uone kama nina njaa za ajabu kiasi kuwatapeli watu na sizAn kama hata hayo mahindi umewahi lima
 
Hivi kwanini unakuwa na mawazo ya ajabu kiasi hiko hebu pitia kwanza nyuzi zangu zilizopita uone kama nina njaa za ajabu kiasi kuwatapeli watu na sizAn kama hata hayo mahindi umewahi lima
Nakuonya Tena na ni amri acha upigaji mara Moja na ujikite kwenye kilimo hasa mahindi. Niko serious nakufuatilia kwa karibu. Ole wako usitii agizo langu nikuone tu Bado una randa randa huko porini kutafuta wanyonge uwapige haki ya nani Mimi na wewe.

Kammoon shambani.
 
Back
Top Bottom