Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Soma mada na michangoNiambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma mada na michangoNiambie
Sawa mkuuDar Porini watu wanapiga Pesa ila sijui kama ni level hizo Kwa siku. Kesho nitauliza wadau hapo Songea.
Mwaka 2020 nilitaka Kuja hayo Maeneo kufanya mishe Fulani, kitendea kazi kikatuangusha.
Hiyo 5000 unayowapa ni hela ya kisumbiji au Tanzania?Ni mpakani na ukanda wa ziwa nyasa ila hauvuki ziwa kuna barabara inaingia hadi huko huko kwa kupitia wilaya ya mbinga hata watu wa upande huo mahitaji yao yote wanachukulia mbinga/ruvuma , maana machimbo yalipo hadi ufike Msumbiji yenyewe ufanye kaz kidogo coz hakuna usafiri wa kwenda huko kutokea hapo machimbo na hakuna barabara ya maana ya kusema itapita gari kubwa ni mwendo wa milima
Sehemu za Tanzania hupajui?Woga huo mkuu
Waambie watu waje wawekeze kwenye mashine za uchimbaji na vifaa. Pia huko nasikia bia zinatoka balaa niliona zile Defender TDI zinabeba kreti kibao na wanasema Kuna upungufuSawa mkuu
Ya kitanzaniaHiyo 5000 unayowapa ni hela ya kisumbiji au Tanzania?
Ni kweli mkuu ni wazo zuriWaambie watu waje wawekeze kwenye mashine za uchimbaji na vifaa. Pia huko nasikia bia zinatoka balaa niliona zile Defender TDI zinabeba kreti kibao na wanasema Kuna upungufu
Sasa Mimi ambaye mkulima Sina idea ya dhahabu,alafu unaniambia ni wekeze si ndo wizi wenyewe huoNi kweli mkuu ni wazo zuri
Asantee...soo busy bablaiSoma mada na michango
Nipo bana sema mambo mengi. Hali yako?Asantee...soo busy bablai
Vip Kuna uchimbaji wa kutumia vipimo Kama GP na SDC nina io mashine izo naweza ingia uko???[emoji23][emoji23][emoji23] uwoga ndio umasikini wenyewe,uzuri wake sio kule ndani ndani ni huku nje nje ambapo asilimia kubwa utakutana na watanzania wenzako
Kingine hili eneo nitalokupeleka watu wake wana uelewa mdogo sana wa mambo kana kwamba ukitumia akili yako ya Kisomi utapiga pesa mpaka useme saiv inatosha coz eneo ni kubwa ila hakuna mwekezaji wa maana kule kulipata jiwe la gram400 kawaida sana tena ukiwa na teknolojia yaan mtambo wa kupima mwamba aisee utakuja unisahau na uzuri hakuna mambo ya vibali wala kodi we chimba kauze
Tena kama una kipimo unakula shavu la maana karibu sana mkuuVip Kuna uchimbaji wa kutumia vipimo Kama GP na SDC nina io mashine izo naweza ingia uko???
Utajifunza utaweza kwani ukisomea udereva lazima uendeshe gari tu?Sasa Mimi ambaye mkulima Sina idea ya dhahabu,alafu unaniambia ni wekeze si ndo wizi wenyewe huo
Mkuu mie nina milioni moja vipi inaweza piga kazi mie mwenyewe mchimbaji wakipiga nyundo tena kwelikweliTena kama una kipimo unakula shavu la maana karibu sana mkuu
Mtaalamu nilitegemea utanipa kampani twende wote tukaokote hela kumbe sina mtu kabisa hapa[emoji16][emoji16][emoji16]Hivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Baba we nenda tu ukirudi tutaenda Kidimbwi kula bataMtaalamu nilitegemea utanipa kampani twende wote tukaokote hela kumbe sina mtu kabisa hapa[emoji16][emoji16][emoji16]