Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Napendaga sana kuulizwa vitu kama hivi?
1:nimejibu pitia comment za hapo juu nimesema hivi ni mwambao wa ziwa nyasa kwa kupitia njia ya mbinga
2kwa upande huu hawaangalii mgeni anaye ingia ila utalipia getini buku mbili toka hapo utakuwa unalipia buku tano kila jmos kama mchimbaji mfanyabiashara kila mwisho wa mwezi buku ten
Kimsingi mzee baba wewee sio mchimbaji..wewe ni dalali tu huko..tena dalali wa kuhamasisha matajiri waje muwapige hela zao.

Jibu maswali ya mwamba kwa ufasaha acha kukwepa kwepa...kama hujui sema tu unaogopa nini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Majibu yake bado hayatoshi,anaelekea si mzoefu kwenye sekta
Yeah... Kifupi maelezo yake hayajatimia kbs pengine ni safari anazokunywa labda zikiisha kichwani ataongea kitu cha kueleweka lakn mpaka hapo namuona si mchimbaji japo yote yanawezekana
 
Yeah... Kifupi maelezo yake hayajatimia kbs pengine ni safari anazokunywa labda zikiisha kichwani ataongea kitu cha kueleweka lakn mpaka hapo namuona si mchimbaji japo yote yanawezekana
Haaahaa duh hatari sasa msichokielewa ni kipi kumbe mnauliza maswali majibu mnayo
 
M

Msumbiji sehemu gani?

Vipi swala la mpakani? Ktk kuingia na kutoka na dhahabu?

Umemtaja mwenye eneo pekee vipi kuhusu mwenye leseni?

Uchimbaji huko ukoje? Ni mgodi wa mwamba au ni maveini? Kama ni veini vp kuhs upatikanaji wa maji na kama ni mwamba nyuzi inapatikana ktk mizamo mingapi na duara zilizofika mfuko unasoma gram ngapi? Vipi kuhs matumizi ya milipuko na jeki hammers?

Tunatarajia karibuni mvua zitaanza ktk maeneo mengi ya hapa kwetu tz? Vp kwa historia ya msimu uliopita huko msumbiji kipindi cha mvua migodi inaathirika kwa kiasi gani?

Kubwa purity % ya dhahabu ya huko ni ngapi??
Asipojibu swali hili kwa ufasaha atajidhihirisha ni mpigaji
 
Kimsingi mzee baba wewee sio mchimbaji..wewe ni dalali tu huko..tena dalali wa kuhamasisha matajiri waje muwapige hela zao.

Jibu maswali ya mwamba kwa ufasaha acha kukwepa kwepa...kama hujui sema tu unaogopa nini.

#MaendeleoHayanaChama
Ungekuwa. Karibu ningekutia likibao na hizi pombe ungependa
 
Asipojibu swali hili kwa ufasaha atajidhihirisha ni mpigaji
Mkuu nijibi vipi muelewa labda ungetoa mfano mana nimejibu weee mpaka nimekonda sijui uelewa mdogo au mnajitoa ufahamu mana tukitoa maelezo marefu sana mtasema unatoa gugo nikiwaambia kifup maelezo hayatoshi
 
Fanya basi kujibu maswali yote aliyouliza vidmate ili tukikucheki pm maswali yasiwe mengi mengi
[/QUOTE]Uliza ww nitakujibu mana una hekima yule mwenzako v yupo kwaajili ya kutafuta makosa kama wale mafalisayo kwa yesu sasa mm mtu nikikujua upo wa hivyo lazima tuzinguane karibu mkuu nitakujibu
 
Ngoja tupambanie bomba la mafuta huku maana IYUU wanatuletea utani tutakuja .....
 
Purity % ya dhahabu ya huko ni ngapi? sitaki kuwa mdhamini nataka ninunue dhahabu
 
Yap Mkuu nazan ushawishi kuja dar pori
Dar Porini watu wanapiga Pesa ila sijui kama ni level hizo Kwa siku. Kesho nitauliza wadau hapo Songea.

Mwaka 2020 nilitaka Kuja hayo Maeneo kufanya mishe Fulani, kitendea kazi kikatuangusha.
 
Back
Top Bottom