Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
- Thread starter
- #21
Hapa na mkuu unakoongelea wewe ni Msumbiji mtepwez ila ninakoongelea mimi ni mpakani na ziwa nyasa huku ni amani kwanza huwezi mkuta mtu anaongea kireno ni kiswahili tu na huwezi mkuta mwanamsumbiji kule zaidi ya hao wamiliki wa hayo maeneo ambao na wao wamewekeza tz songea na mbinga kwahiyo akikuletea zake unafika nchini kwako unamuhalibiaHivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.[emoji23][emoji23][emoji23]