Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Wenye mtaji Njoo tuwekeze huku kwenye migodi ya dhahabu

Hivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa na mkuu unakoongelea wewe ni Msumbiji mtepwez ila ninakoongelea mimi ni mpakani na ziwa nyasa huku ni amani kwanza huwezi mkuta mtu anaongea kireno ni kiswahili tu na huwezi mkuta mwanamsumbiji kule zaidi ya hao wamiliki wa hayo maeneo ambao na wao wamewekeza tz songea na mbinga kwahiyo akikuletea zake unafika nchini kwako unamuhalibia
 
Hapa na mkuu unakoongelea wewe ni Msumbiji mtepwez ila ninakoongelea mimi ni mpakani na ziwa nyasa huku ni amani kwanza huwezi mkuta mtu anaongea kireno ni kiswahili tu na huwezi mkuta mwanamsumbiji kule zaidi ya hao wamiliki wa hayo maeneo ambao na wao wamewekeza tz songea na mbinga kwahiyo akikuletea zake unafika nchini kwako unamuhalibia
Mkuu kwahio we million 2 inaingia kila siku hapa tunavyoongea?
 
Mkuu kwahio we million 2 inaingia kila siku hapa tunavyoongea?
Sio kila siku Mkuu yaani ukisha weza mpaka kufikia hatua unaanza pata haya mawe mwendo utakuwa kama ifuatavyo utaanza kupata mawe yenye gram 10 kwa kadili sampuli zako zinavyokwenda ndio itazid kupanda mwisho wa siku itaanza kupungua tena inamaana inawezekana ukawa unakula hiyo pesa kwenye huo mgodi ndani ya miezi miwili au mitatu mingine hadi sita hadi mwaka kutokana na miamba na hizo sampuli zinavyoenda
 
Maeneo gani huko msumbiji?fursa popote nijuze niwashitue jamaa zangu wa geita tuje huko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue……?[emoji28]
Ukiweza kuwekeza kubali na hasara, mkono mtupu haurambwi, yaani mi nikupe dili hata buku ya vocha usinitoe labda mi ni kaka yako nazan umeelewa
Anahitajika mwekezaji wa aina gani?

Ila broo hata we ukitaka njoo tu tukupe eneo upate hela ya kula laki laki hizi huwezi kosa nguvu yako tu na nyota
 
Mkuu kwahiyo mifuko mitatu Kati ya 10 hiyo ni asilimia 3 kweli au unataka kutupima uelewa wetu
Nikiwaambia asilimia 30 mngezingua ni kweli asilimia 3 hata upate mifuko miambili kwa siku yake mitatu tu hivyo tu mkuu
 
Ni mpakani na ukanda wa ziwa nyasa ila hauvuki ziwa kuna barabara inaingia hadi huko huko kwa kupitia wilaya ya mbinga hata watu wa upande huo mahitaji yao yote wanachukulia mbinga/ruvuma , maana machimbo yalipo hadi ufike Msumbiji yenyewe ufanye kaz kidogo coz hakuna usafiri wa kwenda huko kutokea hapo machimbo na hakuna barabara ya maana ya kusema itapita gari kubwa ni mwendo wa milima
Unapita Dar Porini
 
Hivi wale wahuni waliotikisa kibiti hadi JeiWii wakaingilia kati niliskia walikimbilia msumbiji. Nyie tangulieni tu wanangu. Mie sina mpango wa kufa hivi karibuni tena kwa kuuwawa kikatili. Hapana acha nile hela za muhindi tu kwa amani.😂😂😂
Mzee twende Mgodi umetema, ukiweka million 2 Kila siku unakunja 3m. Unajipa siku 100, unawapa Toyota Oda ya Land Cruiser series 200
 
Back
Top Bottom