GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mkuu, mbona tokea huu mwezi uanze sijasikia kama kuna Nissan ilmeungua? Suala la kuungua linaweza likawa ni ajali kama ajali zingine. Kama zingekuwa na tatizo sana, Serikali ingezipiga marufuku kuingizwa nchini. Maadam TBS imeziridhia, amini ya kuwa ni bidhaa bora.Hiyo inaongoza Kwa kuungua...utalia ukinunua halafu iungue unaiona
Muhimu ni kuzingatia maelekezo ya mtengenezaji na wataalam wengine wa magari.