Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

Duuuh jamaa umekazia sana suala la moto, asee ungekuwa mwalimu wa mase tu daaaah!😁

Lakn si tulikubaliana moto unatokana na makosa ya kielimu za wamiliki na mafundi tu au?
Ksbb nazijua na nimeshuhudia nyingi zikijibu,zikishika moto. Hii ninayoitumia mimi sasa ilikuwa ya wife haikuwa chaguo langu. Mimi ni Toyota tu. Lakini sasa wife anaiogopa baada ya kushuhudia nyingi zikiwaka na hii kutaka kuwaka.
Itakuwa sikuhudhuria darasa la elimu kuhusu Duas. Hebu nipe link tuone. Halafu unasema mlikubariana ni makosa ya kielimu kwa wamiliki na mafundi? Kivipi?
 
Be advised, Nissan sio gari mkuu..
Kiongozi, Nissan ni gari imara sana
Huwezi kulinganisha mfano x trail na Rav 4. Nissan X -trail ni gari ya kazi inaenda hata linapopita trecta ni kwa vile tu hazijauzika kwa wingi Tanzania
Ungemshauri tu kuwa, kwa hapo Bongo sio vizuri kuanza na Nissan kama gari ya kwanza
 
Hujaelewa!

Maelezo hayasemi gari itawka moto ukiiosha...

Unaambiwa hivii; hiyo insulator inaharibika/inachoka kwa kupigwa na maji ya pressure wakati wa kuosha gari.

Hiyo insulator ikiharibika/ikichoka inakuwa kama tambara la deki [emoji23] wewe umeita mapamba pamba!

Hayo mapamba pamba sasa ndo yanaangukia/yanalia kwenye exhaust manifold, ambapo gari ikitembea mwendo mrefu lil chuma linakuwa kama limeshika moto... !

Hapo sasa sijui umenielewa..?



View attachment 2788580
View attachment 2788582
Ok. Angalau wewe umefafanua. Japo pia ilitakiwa ujibu lile langu kwamba gari zangu huwa sioshagi kwa presure kabisa. Kwa nini ikatokea nayo?
 
Hujaelewa!

Maelezo hayasemi gari itawka moto ukiiosha...

Unaambiwa hivii; hiyo insulator inaharibika/inachoka kwa kupigwa na maji ya pressure wakati wa kuosha gari.

Hiyo insulator ikiharibika/ikichoka inakuwa kama tambara la deki [emoji23] wewe umeita mapamba pamba!

Hayo mapamba pamba sasa ndo yanaangukia/yanalia kwenye exhaust manifold, ambapo gari ikitembea mwendo mrefu lil chuma linakuwa kama limeshika moto... !

Hapo sasa sijui umenielewa..?



View attachment 2788580
View attachment 2788582
Nimekuelewa vizuri kabisa. Ngoja nichunguze mkuu
 
Ksbb nazijua na nimeshuhudia nyingi zikijibu,zikishika moto. Hii ninayoitumia mimi sasa ilikuwa ya wife haikuwa chaguo langu. Mimi ni Toyota tu. Lakini sasa wife anaiogopa baada ya kushuhudia nyingi zikiwaka na hii kutaka kuwaka.
Itakuwa sikuhudhuria darasa la elimu kuhusu Duas. Hebu nipe link tuone. Halafu unasema mlikubariana ni makosa ya kielimu kwa wamiliki na mafundi? Kivipi?
Anhaa

Ila wanawake bhana, analilia Dualis amekaona kazuri kana rangi tamu halafu akitishiwa kidogo tu anaikimbia😆😄😄

Anakuacha upambane nalo wewe, lakini komaa ndio uanaume👊

Kuhusu elimu. Ni kujaribu kufuatilia ukisikia gari imewaka moto chanzo kilikuwa ni nini. Usiishie tu sababu za jumlajumla kama UMEME au sijui INJINi nini. Hakikisha unafuatilia umeme umefanyejefanyeje eeh. Mtumiaji au fundi alifanya nini au hakufanya nn. Eeh
Hata ikitokea sijui giaboksi au chochote fuatilia. Yaani fanya kama wale 'Aircrash investigator' wanavyofanyaga. Elimu, kuwa mdadisi maana udadisi ndio akili. Jifunze kwa makosa na mafanikio na manuals maana kujifunza nako ho masala, MasalaKulangwa☝. Hicho ndicho nilimaanisha chief
 
Naona kijana unayatamani matatizo kwa gharama kubwa, haya karibuu kwenye chama la milipuko, huyu kaunguliwa kigamboni darajani hata wiki hajamaliza.

IMG_0921.jpg

IMG_0920.jpg

IMG_0919.jpg
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.

Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.

Mimi sina gari,

Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……

View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]

$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Umeanza na akiba ya sh 3,000! Hongera sana mkuu! Imani yako ni kubwa sana. Kwa Imani hiyo, ukitakacho hakitaweza kukupiga chenga.

Natamani ungeweka na namba ya account yako (benki au simu) ili na mimi nikuchangie elfu tatu (3,000/).
 
Back
Top Bottom