Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

Labda ksbb hujawahi kumiliki ndinga mkuu. Hizi sio gari nzuri sana. Bora hata uwe na Raum kuliko hizi Nissan. Tena kama unaanza na gari anza na Toyota tu. Hii Nissan duas inashika moto sana nafikiri kuna mahala ilikosewa. Japo ktk Nissani nyingi hii duas ndio ina body imara tatizo lake tu kushika moto na jinsi nakshi zake za huko ndani kama vile vitambaa ndani kubanduka. Juu kwenye roof,ina shida pia kwenye gear box.

Ukiipata hii uwe makini sana. Japo kwenye kushika moto hakuna umakini. Kuna sehemu kwenye engine zinapita pipe za brakefluid na mkono wa staring vinapishana hapo ndio unaanziaga moto. Ukiipata mpya unamwambia fundi tu atenganisha kidogo mitaa hiyo. Hapo na roof ya ndani juu na pembeni kwenye makava unatoa yale madude unaweka lezer. Hapo uta-enjoy,japo itahitaji umakini sana
in short tu izo vibiriti
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa.Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]


$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
hiyo kwa mjini haifai, inakula wese balaa, ila kwa safari utaipenda.haili mafuta.
 
Sasa insulator imewekwa pale kwaajili ya kuzuia joto kupenya ukiwa utaondoa si ndio balah zaidi ?
Hiyo insulator inaharibika na kuwa kama tambara sababu ya kupigwa maji ya pressure wakati wa kuosha injini.

Mi nimeitoa na sijaona joto lolote kuongezeka.
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa.Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]


$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Gari lenyewe la zamani si ukanunue tu mbona si aghali hivyo mwanangu?
 
Sidhani kama ni sababu hiyo. Ksbb mimi sikutoka kuosha gari. Halafu ktk vitu navikwepa ktk gari kuoshwa ni kupigwa presure kwenye engine,hicho kitu sikitumii ksbb najua madhara yake. Umechunguza nyingi zinazowaka njiani unafikiri zimetoka kupigwa presure? Pia yale kama mablanket yalisaidia sana siku ile kuzuia moto usije kwa kasi. Japo siwezi kukukatalia kwamba yanaweza kuwa ndio chanzo cha moto. (Nitachunguza pia). Lakini sio ikitoka kuoshwa. Ksbb nyingi zinawaka sio zimetoka kuoshwa
Hujaelewa!

Maelezo hayasemi gari itawka moto ukiiosha...

Unaambiwa hivii; hiyo insulator inaharibika/inachoka kwa kupigwa na maji ya pressure wakati wa kuosha gari.

Hiyo insulator ikiharibika/ikichoka inakuwa kama tambara la deki [emoji23] wewe umeita mapamba pamba!

Hayo mapamba pamba sasa ndo yanaangukia/yanalia kwenye exhaust manifold, ambapo gari ikitembea mwendo mrefu lil chuma linakuwa kama limeshika moto... !

Hapo sasa sijui umenielewa..?



Screenshot_20230408_151732_Instagram.jpg

View attachment 2788582
 
"Brother ukiona kitu umekitamani hasa ujue hiyo ni ishara tosha kuwa unaweza kukimiliki regardless mazingira yanayokuzunguka yalivyo"
.....ishi kwenye ndoto zako Kwa gharama yoyote.
Mimi gari yangu ya kwanza kuinunua na kujifunza ni Subaru legacy Bl sport na sijawahi jutia uamuzi wangu licha kukutana na washauri lukuki mara ooooooh!...inakula wesee.... Oooh...spare zake gharama....oooooh....zipo chini sana..ila Brother nadunda nayo kama kawaida.
"Maisha ni yako, ndoto ni zako ukizubaa tutakuteka uishi kwenye zetu"
 
Labda ksbb hujawahi kumiliki ndinga mkuu. Hizi sio gari nzuri sana. Bora hata uwe na Raum kuliko hizi Nissan. Tena kama unaanza na gari anza na Toyota tu. Hii Nissan duas inashika moto sana nafikiri kuna mahala ilikosewa. Japo ktk Nissani nyingi hii duas ndio ina body imara tatizo lake tu kushika moto na jinsi nakshi zake za huko ndani kama vile vitambaa ndani kubanduka. Juu kwenye roof,ina shida pia kwenye gear box.

Ukiipata hii uwe makini sana. Japo kwenye kushika moto hakuna umakini. Kuna sehemu kwenye engine zinapita pipe za brakefluid na mkono wa staring vinapishana hapo ndio unaanziaga moto. Ukiipata mpya unamwambia fundi tu atenganisha kidogo mitaa hiyo. Hapo na roof ya ndani juu na pembeni kwenye makava unatoa yale madude unaweka lezer. Hapo uta-enjoy,japo itahitaji umakini sana
Duuuh jamaa umekazia sana suala la moto, asee ungekuwa mwalimu wa mase tu daaaah!😁

Lakn si tulikubaliana moto unatokana na makosa ya kielimu za wamiliki na mafundi tu au?
 
Back
Top Bottom