[emoji23][emoji23][emoji23] nimependa spirit yako. Kaza misuli sasa ili hicho kisanduku hela kijae fasta. Pambana sana.SAVING ii
Hadi sasa nimefikisha kiasi cha sh 10,000/=
Milioni 24 sio mbali nitafika[emoji3064]
Eti bwana bora wewe umesema. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahahaaa.... dualis Japan wala ulaya haziungui ila zinakuja kuungua huku Tanganyika
[emoji16][emoji16][emoji16] jamaa we fala SanaLeo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mimi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……
View attachment 2783004
View attachment 2783006
View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]
$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Hiyo inaongoza Kwa kuungua...utalia ukinunua halafu iungue unaiona
Hii gari inaunguaga Tanzania tu, ila huko ilikotoka hatusikii ikiungua inadunda tu!Jiandae kufa kwa pressure na umaskini wako, itaungua yote na Italian sana, ukitaka kurisk ikatie Bima kubwa sana
Ilikuwa dream car yangu, nilikuwa najichanga December hii niichukue mbona tunatishana tena?? Kwa hiyo ni bora nirudi kwenye IST new model tena na sio Dualis???
Tupunguze starehe mkuu tuitafute hii, hii sasa ndio gari.
Mimi nakaribia kufika deadline kabisa december hii mtoto anatua. Kuna huyo jirani anapita asubuhi kila siku na dualis yake huwa namtamania sana yaani. Ila haya maswala ya kuwaka moto wamenitisha tenamwenzangu umefikia sh ngap
Mimi nakaribia kufika deadline kabisa december hii mtoto anatua. Kuna huyo jirani anapita asubuhi kila siku na dualis yake huwa namtamania sana yaani. Ila haya maswala ya kuwaka moto wamenitisha tena
Si huwa mnasema Nissan spare ni ghali na hazipatikani au?Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mimi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……
View attachment 2783004
View attachment 2783006
View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]
$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Unawatamani ila hawajui tuu. Wamekusikia, acha kutamani.Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.
Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.
Mimi sina gari,
Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……
View attachment 2783004
View attachment 2783006
View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]
$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Kwa nilichoandika unahisi naweza kumiliki gari kweli?mkuu wewe una gari gan
Kwa nilichoandika unahisi naweza kumiliki gari kweli?
Unawatamani ila hawajui tuu. Wamekusikia, acha kutamani.
Ahh gari na maskini kama mimi wapi na wapi[emoji3][emoji3][emoji3]Ulivoandika kwa hisia nikajua utakua nayo
CHUKUA NISSAN DUALIS,,Ilikuwa dream car yangu, nilikuwa najichanga December hii niichukue mbona tunatishana tena?? Kwa hiyo ni bora nirudi kwenye IST new model tena na sio Dualis???
upo sahihi sana mkuu japo spare zake ni ghali kidogo.CHUKUA NISSAN DUALIS,,
gari ina muonekano mzuri,utumiaji wa wese sio mbaya na spares zipo nyingi
To be honest kwa jamii ya SUV dualis wese inanusaCHUKUA NISSAN DUALIS,,
gari ina muonekano mzuri,utumiaji wa wese sio mbaya na spares zipo nyingi