Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

Wenye Nissan Dualis nawatamani sana hamjui tu

SAVING ii
Hadi sasa nimefikisha kiasi cha sh 10,000/=

Milioni 24 sio mbali nitafika[emoji3064]
[emoji23][emoji23][emoji23] nimependa spirit yako. Kaza misuli sasa ili hicho kisanduku hela kijae fasta. Pambana sana.
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.

Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.

Mimi sina gari,

Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……

View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]

$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
[emoji16][emoji16][emoji16] jamaa we fala Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupunguze starehe mkuu tuitafute hii, hii sasa ndio gari.
 

Attachments

  • Screenshot_20231106_072416_Google.jpg
    Screenshot_20231106_072416_Google.jpg
    55.7 KB · Views: 9
Ilikuwa dream car yangu, nilikuwa najichanga December hii niichukue mbona tunatishana tena?? Kwa hiyo ni bora nirudi kwenye IST new model tena na sio Dualis???

mwenzangu umefikia sh ngap
 
mwenzangu umefikia sh ngap
Mimi nakaribia kufika deadline kabisa december hii mtoto anatua. Kuna huyo jirani anapita asubuhi kila siku na dualis yake huwa namtamania sana yaani. Ila haya maswala ya kuwaka moto wamenitisha tena
 
Mimi nakaribia kufika deadline kabisa december hii mtoto anatua. Kuna huyo jirani anapita asubuhi kila siku na dualis yake huwa namtamania sana yaani. Ila haya maswala ya kuwaka moto wamenitisha tena

nunua ww upate ur own experience
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.

Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.

Mimi sina gari,

Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……

View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]

$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Si huwa mnasema Nissan spare ni ghali na hazipatikani au?
 
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan.

Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka.

Mimi sina gari,

Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa no)
Sikuwaga na interest za magari
Ila sasa kuna hii gari imetokea inaitwa ……

View attachment 2783004
View attachment 2783006

View attachment 2783007
Yaan kiasi kwamba niki Nikimuona mtu anaendesha hii gari naona ANAISHI KWENE ndoto yangu kabisa. Namtamani ningekua ndo mimi naimiliki[emoji848]
nipeni ushauri nisije nikajikuta nimeuza had kabanda kangu kisa kutafuta milion22 za hii gari[emoji3064]

$AVING ~i
Nimeanza kukusanya hela saizi nina 3000/= nimeitia kwa kibubu
Unawatamani ila hawajui tuu. Wamekusikia, acha kutamani.
 
Ilikuwa dream car yangu, nilikuwa najichanga December hii niichukue mbona tunatishana tena?? Kwa hiyo ni bora nirudi kwenye IST new model tena na sio Dualis???
CHUKUA NISSAN DUALIS,,
gari ina muonekano mzuri,utumiaji wa wese sio mbaya na spares zipo nyingi
 
Back
Top Bottom