Ndugu Buhari amefeli labda sababu ni UzeeKwanini una imani sana na huyu jamaa?
Nadhani Buhari amejitahidi sana kwa kiasi kikubwa kuituliza Nigeria, kumbuka mauaji makubwa ya kikabila na mzozo wa kila mara wa kidini huko Jos kipindi Goodluck Jonathan ni Rais bila kusahau Bokoharam kupata nguvu.
Ila toka Buhari amekamata madaraka amejitahidi sana, japo Kuna udhaifu mfano wavulana 300 waliotekwa ila angalau utawala wake unaonekana kuwajibika.
Achana na propaganda za kitoto hizo na zilizopitwa na wakati ambazo si za waislamu.Maana ya boko haram ni -Western Education is forbiden
Yaani elim dunya ni haram
Sasa wanáteka wanafunzi wa shule na shule nyingi za hilo jimbo zimefungwa baada ya hilo tukio...kwahyo its win for Boko haram.
Hata pakistan,Afghanistan ISIS wamekuwa wakivamia mashule kama ambavyo alshabaab kenya walivamia chuo..
ujumbe ni uleule elimu ya kidunia ni adui wa Uislam
Sijasoma....ndefu sanaAchana na propaganda za kitoto hizo na zilizopitwa na wakati ambazo si za waislamu.
Uislamu ndio daraja kubwa la maendeleo ya dunia kwa sasa na watafiti wote wa mwenendo wa elimu wamelithamini hilo.
Kabla ya kushuka Qur'an na kupewa utume Mtume Muhammad s.a.w kulikuwa na elimu na kwa sababu elimu ni maumbile ya Mwenyezi Mungu.Lakini mara baada ya kushuka Qur'an na baada ya kufariki Mtume s.a.w elimu katika dunia ilipata nguvu kubwa sana.Hii ilitokana na ufunuo uliomo katika Qur'an ambapo aya ya mwanzo ilihimiza kusoma na haikubaguwa elimu unazoita wewe za dunia na kwengine unakokujua.
Ndani ya Qur'an kumehimizwa kusafiri kutafuta elimu kwa kujionea maumbile ya Mwenyezi Mungu.Kuna aya nyingi zinazohusu kupeleleza mbingu na vyakula tunavyokula.Hadithi za Mtume s.aw zikahimiza watu kusafiri kutafuta elimu na kwamba kufanya hivyo kuna malipo makubwa ambayo yatamfanya mtu kuwa sababu ya kuingia peponi huko akhera.
Kwa kufuata mafunzo hayo waislamu wengi waliingiza kimatendo wakapeleleza na Mungu akawaongoza,wakasafiri na wakaona mengi waliyoyakushanya pamoja.Kutoka kaskazini ya Afrika wakaingia Ulaya wakati watu wa huko wako giza kabisa.Wakajenga vyuo vikubwa na utafiti mkubwa ukafanyika kwa juhudi hizo elimu zote zikafika mbali mpaka China na Urusi.Hivyo unapoona Urusi yote imejaa waislamu na kumbukumbu zake si kitu kilichozuka tu.
Kule Iraq kulijengwa maktaba kubwa ya watu kusoma na nzuri kabisa iliyodumu miaka mingi mpaka ilipovunjwa na wafuasi wa ukristo na kuchoma moto vitabu kwa mamilioni.Vichache vilivyopatikana ni maajabu matupu.Inaonekana wakristo wamechelewesha maendeleo ya kisayansi ya dunia.Kama si wao hizi ndege na intaneti inaonekana mababu zetu wengi wangeyakuta.
Nchini Mali pekee na huko huko Afrika maktaba iliyobaki Timbuktu kumepatikana maandishi ya waislamu kuhusiana na mahesabu ambayo watafiti wa kifaransa wamekiri wanafunzi wengi wa vyuo vikuu vya sasa hawawezi kuyakokotoa.
Mdomo wa kusema kuna watu wanapinga elimu ya dunia mumeupata wapi iwapo si propaganda za kitoto zinaganda kwenye alili za kitoto.
SOMA HAPA na uliza zaidi usiwe mvivu kwa kujifunza.
Buhari aliwahi kuwa rais kabla ya hapa. Tatizo la Nigeria ni connection, kilaza yeyote anaweza ongoza nchi mradi ulaji wa watu wachache unakuwepo. Unavyoona Wanaijeria ni matapeli duniani hata viongozi wake matapeli vilevile, jeshi lote wezi.Kwanini una imani sana na huyu jamaa?
Nadhani Buhari amejitahidi sana kwa kiasi kikubwa kuituliza Nigeria, kumbuka mauaji makubwa ya kikabila na mzozo wa kila mara wa kidini huko Jos kipindi Goodluck Jonathan ni Rais bila kusahau Bokoharam kupata nguvu.
Ila toka Buhari amekamata madaraka amejitahidi sana, japo Kuna udhaifu mfano wavulana 300 waliotekwa ila angalau utawala wake unaonekana kuwajibika.
Tatizo la kinachoitwa ugaidi na ujambazi na utapeli Nigeria kwa kweli si tatizo la kijeshi sana.Isipokuwa linahitaji kiongozi shupavu atakayetumia majeshi kumaliza ujinga na nchi ikarudia heshima yake kama mkubwa wa Afrika.Buhari aliwahi kuwa rais kabla ya hapa. Tatizo la Nigeria ni connection, kilaza yeyote anaweza ongoza nchi mradi ulaji wa watu wachache unakuwepo. Unavyoona Wanaijeria ni matapeli duniani hata viongozi wake matapeli vilevile, jeshi lote wezi.
Buhari mzembe tu hana maajabu yoyote ni kama hayupo. Mageuzi gani kaleta, mbona Umar Yar Adua alikaa muda kidogo kabla hajafa ila heshima yake hadi leo ipo. Na alikuwa civilian, sasa huyu Buhari jenerali mzima hana mbinu mbadala za usamala.
Ina maana wamewateka na kuwapakia kwenye pkpik wanafunzi wote 800? HowLeo tena tumepata kali ya kufungia mwaka huko Katsina jimbo alilozaliwa raisi wa sasa wa Nigaria mheshimiwa Muhammad Buhari ambaye kwa sasa yuko mapumzikoni jimboni kwao.
Inadaiwa watu waliopanda piki piki waliivamia shule ya mchepua wa Sayansi na kufyatua bunduki hewani halafu wakaondoka na zaidi ya wanafunzi 800 ambao mpaka sasa jeshi halijafanikiwa kuwapata wote .
Jeshi la nchi hiyo baada ya kupata taarifa hizo lilifika eneo la tukio na kufanya upekuzi kwenye msitu ulio karibu na shule hiyo pamoja na kushambuliana na watekaji hao.
Bado jeshi halijatoa taarifa rasmi.Hata hivyo maafisa wa serikali wa eneo hilo wamesema hakuna taarifa ya kujeruhiwa hata mwanafunzi mmoja.
Majirani wa shule hiyo wanasema walisikia milio ya bunduki usiku wa manane ambapo walinzi wa shule hiyo walifanikiwa kuwarudisha watekaji hao kabla ya jeshi la Polisi kufika.Majirani wengine wanasema walishuhudia watu hao wenye silaha wakiondoka na wanafunzi waliowateka.
View attachment 1648898