Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Bora kaachwa tu maana angekuwa kama mamaye na angesumbua watu tu . Ukoo usingeishi kwa amani huyi kijana Mungu kamuonekania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi naona kamuombee basiAchaneni na imani pot potofu Mama anatatizo la afya ya akili na.anahitaji kusaidiwa kwa hali na mali!!!!
Afya ya akili kunasa Kwenye paa la watu na makani na matunguli?,acha kutetea ujinga mkuuAchaneni na imani pot potofu Mama anatatizo la afya ya akili na.anahitaji kusaidiwa kwa hali na mali!!!!
Kweli kabisa mana tomaso anabishana na ukweliHata mimi naona kamuombee basi
Wanga hata humu wapoKweli kabisa mana tomaso anabishana na ukweli
Ilo najua ndo mana wanakua wakali😂😂tunapo wachana ukweliWanga hata humu wapo
Wachawi hua hawavai kaniki hua wanakua uchi mwili mzima hii story ni chaiMhhhh ya ukweli haya? Mbona inatisha kuwa ukweli?
Kama ni kweli basi binti anajua mama yake mchawi kwa kauli yake ya kumzuia kwenda kuwanga siku hiyo.
Ila mchumba asamehe kama wanapendana hakuna shida uchawi wa mama sio issue.
Sawa ila sio wote siku hizi wanajisitiriWachawi hua hawavai kaniki hua wanakua uchi mwili mzima hii story ni chai
😅😅😅😅😅😅
mambo mengine ni ya aibu jamani😌😌Umeshtuka sasa usiombe ikukute umeenda kunitambulisha alafu ndio hivyo ushanikosa 🤪
Umenikosa umenikosa umekosa 🤪 nikiondoka sigeuko nyuma hata uzimiemambo mengine ni ya aibu jamani😌😌
Umesema wachawi ni wasengenyaji au ni wasengerema? 🤪Wachawi wasennge sana!
Huyo bora aachane nae hao watu ni Hatari sana!
😂🙌🏾🙌🏾🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️Umesema wachawi ni wasengenyaji au ni wasengerema? 🤪