Siyo issue kivipi?Mhhhh ya ukweli haya? Mbona inatisha kuwa ukweli?
Kama ni kweli basi binti anajua mama yake mchawi kwa kauli yake ya kumzuia kwenda kuwanga siku hiyo.
Ila mchumba asamehe kama wanapendana hakuna shida uchawi wa mama sio issue.
Hajui kuwa huyo mama atawarithisha wajukuu zake.Ambao ni watoto wa huyo anayeambiwa 'sio issue'Siyo issue kivipi?
hili ni janga lingine watu hawajalijua vizuri,vijana siku hizi wamegoma kuoa hii nimoja ya sababu...wazee wetu enzi za ujana wao walifanya sana ushirikina mpk imepelekea kuwa wachawi kabisa...ki ukweli ni kawaida miaka hii kwenda kuoa au kuolewa kwenye chaka la wachawi na kutaabika fo the rest of your life..MAISHA YAMEKUWA COMPLICATED KWENYE KILA JAMBO SIKU HIZI...MAMA MCHAWI
****************
Habari za leo wapendwa....
Nina kisa kimoja kimetokea juzi tarehe 11,π’π’π’π’π’π’
Iko hivi kuna rafiki yangu mmoja alipata mchumba,baada ya kuridhiana wakaanza maisha,kijana alienda kumtambulisha binti kwao ila binti hakuwahi kumtambulisha kijana kwao,basi wameishi kwa pamoja muda wa mwaka mmoja na miezi2 baadae binti ambaye ni rafiki yangu akaamua kwenda kumtambulisha mchumbaake kwao.
Basi shoga zangu,akatuandaa sisi marafiki tumsindikize na kijana nae akaandaa marafiki zake watakaomsindikiza..kwao binti.... Basi bana si tukajiandaa vizuri siku ya tarehe10 ndo tulienda kwao rafiki yangu. Namshukuru Mungu tulikaribishwa vizuri kwa ukarimu na ucheshi sana. Tulifurahia kuwafahamu wazazi wake rafiki yangu basi taratibu nyingine zikaendelea
Usiku ulipowadia tukaingia kupumzika mahali tulipoandaliwa wageni,basi sie tukalala
Wapendwa usiku huo kumbe mama mkwe ni mchawi katoka zake kwenda kuwanga,na huo mji aloenda kuwawangia kumbe haungiliki ovyo.....mama wa watu kaganda hadi asubuhi saa12.
Sisi tumelala mara ghafla kelele huko nje zikaanza huyo mchawii umezoea leo umeshindwa mmh,
Hizo kelele za kijijin ikabidi nasi tuamke na kwenda kushuhudia.
Vile tumetoka wageni wote nje. Tulipigwa na butwaa sana baada ya kumkuta mamaake rafiki yangu ndo anayepigwa na kavaa zake kaniki na vibuyu mkononi na mijitu kashikilia mkononiπ’π’π’π’
Jamani omba isikukute πππmama mkwe mbele ya mkwewe amevaa kaniki,binti alilia akisema mama laiti ningejua leo hii ningekuzuia usiende kuwanga binti wa watu akazirai mkwe kaamua kuondoka, na kamuacha binti kabisa hamtaki tena..binti alivyoamka nae kaondoka nyumbani ikabidi nasi turudi zetu nyumbani.
JAMAN WAMAMA WAMAMA MNAOWANGA JAMAN ππππNaumia sana najaribu kuvaa kiatu cha yule dada kinanibana jaman Inaumiza sana
Acheni kuwanga jaman wenye tabia kama hizi.
Uchawi ni mchezo wa kuridhishana vizazi na mzee.Nikijua mke wangu ni mchawi siku hiyo hyo nafukuzaHajui kuwa huyo mama atawarithisha wajukuu zake.Ambao ni watoto wa huyo anayeambiwa 'sio issue'
,[emoji851][emoji851]VIGAGURA wanashida sana!kumbe ni kama arostoUchawi kama bange,wanakua na arosto[emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndio ππ,[emoji851][emoji851]VIGAGURA wanashida sana!kumbe ni kama arosto
ChaiMAMA MCHAWI
****************
Habari za leo wapendwa....
Nina kisa kimoja kimetokea juzi tarehe 11,π’π’π’π’π’π’
Iko hivi kuna rafiki yangu mmoja alipata mchumba,baada ya kuridhiana wakaanza maisha,kijana alienda kumtambulisha binti kwao ila binti hakuwahi kumtambulisha kijana kwao,basi wameishi kwa pamoja muda wa mwaka mmoja na miezi2 baadae binti ambaye ni rafiki yangu akaamua kwenda kumtambulisha mchumbaake kwao.
Basi shoga zangu,akatuandaa sisi marafiki tumsindikize na kijana nae akaandaa marafiki zake watakaomsindikiza..kwao binti.... Basi bana si tukajiandaa vizuri siku ya tarehe10 ndo tulienda kwao rafiki yangu. Namshukuru Mungu tulikaribishwa vizuri kwa ukarimu na ucheshi sana. Tulifurahia kuwafahamu wazazi wake rafiki yangu basi taratibu nyingine zikaendelea
Usiku ulipowadia tukaingia kupumzika mahali tulipoandaliwa wageni,basi sie tukalala
Wapendwa usiku huo kumbe mama mkwe ni mchawi katoka zake kwenda kuwanga,na huo mji aloenda kuwawangia kumbe haungiliki ovyo.....mama wa watu kaganda hadi asubuhi saa12.
Sisi tumelala mara ghafla kelele huko nje zikaanza huyo mchawii umezoea leo umeshindwa mmh,
Hizo kelele za kijijin ikabidi nasi tuamke na kwenda kushuhudia.
Vile tumetoka wageni wote nje. Tulipigwa na butwaa sana baada ya kumkuta mamaake rafiki yangu ndo anayepigwa na kavaa zake kaniki na vibuyu mkononi na mijitu kashikilia mkononiπ’π’π’π’
Jamani omba isikukute πππmama mkwe mbele ya mkwewe amevaa kaniki,binti alilia akisema mama laiti ningejua leo hii ningekuzuia usiende kuwanga binti wa watu akazirai mkwe kaamua kuondoka, na kamuacha binti kabisa hamtaki tena..binti alivyoamka nae kaondoka nyumbani ikabidi nasi turudi zetu nyumbani.
JAMAN WAMAMA WAMAMA MNAOWANGA JAMAN ππππNaumia sana najaribu kuvaa kiatu cha yule dada kinanibana jaman Inaumiza sana
Acheni kuwanga jaman wenye tabia kama hizi.
Nenda kwa yule kiboko ya wachawiMAMA MCHAWI
****************
Habari za leo wapendwa....
Nina kisa kimoja kimetokea juzi tarehe 11,π’π’π’π’π’π’
Iko hivi kuna rafiki yangu mmoja alipata mchumba,baada ya kuridhiana wakaanza maisha,kijana alienda kumtambulisha binti kwao ila binti hakuwahi kumtambulisha kijana kwao,basi wameishi kwa pamoja muda wa mwaka mmoja na miezi2 baadae binti ambaye ni rafiki yangu akaamua kwenda kumtambulisha mchumbaake kwao.
Basi shoga zangu,akatuandaa sisi marafiki tumsindikize na kijana nae akaandaa marafiki zake watakaomsindikiza..kwao binti.... Basi bana si tukajiandaa vizuri siku ya tarehe10 ndo tulienda kwao rafiki yangu. Namshukuru Mungu tulikaribishwa vizuri kwa ukarimu na ucheshi sana. Tulifurahia kuwafahamu wazazi wake rafiki yangu basi taratibu nyingine zikaendelea
Usiku ulipowadia tukaingia kupumzika mahali tulipoandaliwa wageni,basi sie tukalala
Wapendwa usiku huo kumbe mama mkwe ni mchawi katoka zake kwenda kuwanga,na huo mji aloenda kuwawangia kumbe haungiliki ovyo.....mama wa watu kaganda hadi asubuhi saa12.
Sisi tumelala mara ghafla kelele huko nje zikaanza huyo mchawii umezoea leo umeshindwa mmh,
Hizo kelele za kijijin ikabidi nasi tuamke na kwenda kushuhudia.
Vile tumetoka wageni wote nje. Tulipigwa na butwaa sana baada ya kumkuta mamaake rafiki yangu ndo anayepigwa na kavaa zake kaniki na vibuyu mkononi na mijitu kashikilia mkononiπ’π’π’π’
Jamani omba isikukute πππmama mkwe mbele ya mkwewe amevaa kaniki,binti alilia akisema mama laiti ningejua leo hii ningekuzuia usiende kuwanga binti wa watu akazirai mkwe kaamua kuondoka, na kamuacha binti kabisa hamtaki tena..binti alivyoamka nae kaondoka nyumbani ikabidi nasi turudi zetu nyumbani.
JAMAN WAMAMA WAMAMA MNAOWANGA JAMAN ππππNaumia sana najaribu kuvaa kiatu cha yule dada kinanibana jaman Inaumiza sana
Acheni kuwanga jaman wenye tabia kama hizi.
We Dada mtu unasali kanisa lipi? π€ͺHe we kaka unamtania Mungu utachomwa moto.
Omba mwanangu ushuhudieKinachoshangaza kuhusu uchawi utausikia wee kwa watu, mara 'mchawi aliganda', 'mchawi alidondoka kanisani', hutokaa uone...
Stori za vijiweni.
Wizo π€£π€£π€£