Wenye tatizo la nguvu za kiume, tiba imefika Aga Khan

Wenye tatizo la nguvu za kiume, tiba imefika Aga Khan

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Wanaume wanaokabiliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, sasa watapata ahueni baada ya Hospitali ya Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKUH) kufanikisha upasuaji wa kupandikiza uume kutibu tatizo hilo.

Upasuaji huo ambao ni wa kwanza kufanyika katika ukanda wa Afrika Mashariki, umekuja wakati tatizo hilo likiwakabili wanaume wengi nchini hali inayowafanya wengi kutumia chochote kinachosemekana kinaongeza nguvu hizo.
 
Kwa hiyo mtu unakuwa na vidudu viwili au? Cha kupandikiza na kile chako cha zamani.
 
Dawa ya nguvu za kiume ni kujijaribu kwa mchepuko..kaam performance ipo vzuri ujue uko fiti
 
Wanaume wanaokabiliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, sasa watapata ahueni baada ya Hospitali ya Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKUH) kufanikisha upasuaji wa kupandikiza uume kutibu tatizo hilo.

Upasuaji huo ambao ni wa kwanza kufanyika katika ukanda wa Afrika Mashariki, umekuja wakati tatizo hilo likiwakabili wanaume wengi nchini hali inayowafanya wengi kutumia chochote kinachosemekana kinaongeza nguvu hizo.
mkulima hawezi pata hilo tatizo la nguvu za kiume
fanyeni mazoezi
siyo unatoka kazini unaenda bar ukitoka bar hom kulala
 
Shida inakuwa pale mnapoangaika na matokea baadala ya chanzo cha tatzo.
 
Back
Top Bottom