MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Akizungumza Mubashara na Kipindi cha Michezo cha Jioni Uhai FM Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe amemuuliza Swali Mtangazaji wa zamu Omary Katanga ambalo nitalinukuu hapa;
"Samahani Mtangazaji Azam FC tuko Fainali ya ASFC na Yanga SC nao wako Fainali ya CAFCC Je, wale Wengine wako wapi?"
MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" najulikana sina Timu ninayoishabikia hapa Tanzania hivyo nalitupa hili Swali Kuntu Kwenu ili mumjibu kwani naona kama vile amepiga Ikulu.
"Samahani Mtangazaji Azam FC tuko Fainali ya ASFC na Yanga SC nao wako Fainali ya CAFCC Je, wale Wengine wako wapi?"
MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" najulikana sina Timu ninayoishabikia hapa Tanzania hivyo nalitupa hili Swali Kuntu Kwenu ili mumjibu kwani naona kama vile amepiga Ikulu.