GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hapana. Labda kama utaipoteza.Hivi haya macheti Ya homa ya njano huwa zinaisha Muda wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Labda kama utaipoteza.Hivi haya macheti Ya homa ya njano huwa zinaisha Muda wake?
Hakuna ni hizo passport, yellow fever, COVIDmkuu ebu nifafanulie vizuri mimi ninayo passport ila sijawahi kusafiri kwenda nchi yoyote...je matharani nikiamua kwenda kenya akuna supporting documents nyingine natakiwa kuambatana nayo....?
Hivi haya macheti Ya homa ya njano huwa zinaisha Muda wake?
Ni single short haina ku expire mkuuHuwa zinaisha muda wake, ila jamaa huwa sioni wakikagua muda, wakijiridhisha kwamba cheti ni cha kwako basi.
Mimi ninacho cha miaka mingi sana na nimekatiza nacho kote kote hadi Sudan Kusini.
Hapo Kenya unaingia hata na temporary passport, ila kama siyo mjanja tafuta yellow fever card. Ila kama unaweza kujiongeza basi electronic au temporary passport inatosha. Unaweza kutoboa mpaka South Sudan kwa electronic passport ila kwenye kutoka huko watakufurahishamkuu ebu nifafanulie vizuri mimi ninayo passport ila sijawahi kusafiri kwenda nchi yoyote...je matharani nikiamua kwenda kenya akuna supporting documents nyingine natakiwa kuambatana nayo....?
Mkuu wakati wa kutoka huko South Sudan hawakukuzingua? Mimi walinizingua sana, nafika Airport eti wanadai lazima niwe na Visa, pumbavu sana hao jamaa, na ukileta utata wanakupiga shaba, silaha nje njeHuwa zinaisha muda wake, ila jamaa huwa sioni wakikagua muda, wakijiridhisha kwamba cheti ni cha kwako basi.
Mimi ninacho cha miaka mingi sana na nimekatiza nacho kote kote hadi Sudan Kusini.
Mimi changu ni cha "LIFETIME". Sihitajiki kuchanjwa tena.Huwa zinaisha muda wake, ila jamaa huwa sioni wakikagua muda, wakijiridhisha kwamba cheti ni cha kwako basi.
Mimi ninacho cha miaka mingi sana na nimekatiza nacho kote kote hadi Sudan Kusini.