davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 624
Tafadhali naomba mchango wa mawazo kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi wa nyumba za makazi.
Ninataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu vyenye sitting, dinning, store na kitchen pamoja na public toilets je gharama ya ujenzi inafika shilingi ngapi kwa nyumba ya kawaida?
Nataka nijenge nyumba walau kwa awamu lakini wachora ramani na kampuni kadhaa nilizowasiliana nazo wananipa mahesabu yanayopishana Sana. Asanteni kwa ushauri wenu
Ninataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu vyenye sitting, dinning, store na kitchen pamoja na public toilets je gharama ya ujenzi inafika shilingi ngapi kwa nyumba ya kawaida?
Nataka nijenge nyumba walau kwa awamu lakini wachora ramani na kampuni kadhaa nilizowasiliana nazo wananipa mahesabu yanayopishana Sana. Asanteni kwa ushauri wenu