mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
nyingine hiiAsante sana kwa ushauri wako nitawekea msisitizo wa namna ya kuchagua ramani nafuu kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyingine hiiAsante sana kwa ushauri wako nitawekea msisitizo wa namna ya kuchagua ramani nafuu kwangu
Dah umeniacha hoi hapo kwenye materials, kama ulikua unachukua materials za bei juu kwa kulenga muonekano si ni bora ungechukua materials za mchina tu...mana ni bei ya chini na unakuta mounekano ni mzuri sema tu ni famba. Mi nilidhani ulikua unachagua materials za bei juu kwa kulenga uborayangu ilizidi milioni 55 kutokana na mbwembwe zangu mwenyewe lakini milioni 55 ndio gharama standard.
Yaani unakuta ukienda dukani kuna materials unakuta zina bei tatu tofauti sasa mimi nikawa nachagua za bei ya juu makusudi kumbe mwisho wa siku inaleta muonekano ule ule tu.
Kingine pia usimamizi pamoja na bei za mafundi lazima uwe makini.
Mafundi huwa hawana bei maalum ya kujenga,ni wewe mwenyewe jinsi unavyopatana nao.
Ukipatana nao vizuri mwisho wa siku haitazidi pesa hiyo milioni 55.
Dah umeniacha hoi hapo kwenye materials, kama ulikua unachukua materials za bei juu kwa kulenga muonekano si ni bora ungechukua materials za mchina tu...
Maana ni bei ya chini na unakuta mounekano ni mzuri sema tu ni famba. Mi nilidhani ulikua unachagua materials za bei juu kwa kulenga ubora
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, udongo haufanani, eneo la milima au tambarare, ujenzi wake tofauti...Garama za ujenzi hazifanani, hata kama kwa ramani ile ile, kwanza inategemea ardhi sehemu unafanyika.
Mfano kwa wanaishi Dar, mtu anaejenga kuanzia kimara mpaka kibamba, mbezi mwisho mpaka goba, mbezi mwisho mpaka kinyelezi.
Hawezi kufanana garama za ujenzi na mtu aliejenga nymba kigambo, temeke Gongolamboto, chamanzi, kitonga, msongola, frem 10, mbagara.
Hata wakitumia ramani moja. Hivyo garama za ujenzi hukadiliwa kwa kuona ramani pamoja na eneo la ujenzi.
Mkuu hiyo ya fundi ni kuanzia msingi hadi juu au kufunga paa tu?.Nyumba ya vyumba vitatu ambayo in flat au ndogo ya kuishi inakuwa hivi,
Msingi utagharamia mfano
Mawe 90,000Tzs /au tofali za kulaza za inchi 6 kwa 150,000Tzs
Mchanga Lori mbili 200,000/= unabaki tena. Nunua ule wa Mawe Mawe na mwembamba kidogo wa zege.
Cement nunua mifuko 15 @ 13000Tzs weka
Mbao za kushikilia msingi pembeni zile za 1 by 10 hizi nunua used 50,000Tzs au azima.
Pesa ya Fundi na kibarua 100,000Tzs isizidi kwa msingi.
Mpaka hapo msingi tayari.
Njoo kupandisha tofali,
Nunua tofali 3500 za kuchoma bei 1,500,000Tzs au 900,000Tzs kutegemea na ulipo.
Nunua cement nyingine mifuko 25 hata kwa ajili ya kujengea tofali pia lenta na nondo za Laki 6 kwa ajili ya lenta na nguzo ya baraza.
Mwisho njoo pau kwa mbao za million 2 paa la wastani na bati za million 3.5 nzuri
Fundi mlipe milioni na laki tano mpaka kupaua.
Madirisha milango hizo ni cost nyingine madirisha 8 ya security laki 9 na aluminium ukiweka itaeza kula milioni 1.4 pamoja na milango yote .
Piga hesabu angalia vizuri unapata nyumba
Maji sijaweka na mfumo wa Maji taka pia bado.
Nicheki unipigie 0678502276 nikupe ushauri.
Ni msingi tu Tsh. 100000Mkuu hiyo ya fundi ni kuanzia msingi hadi juu au kufunga paa tu?.
Kuna mwenzako kaleta uzi analalamika jengo lina ufa, hii tabia ya kutotumia wataalam itawa cost sana.Niliwahi mfuata Architech anichoree ramani akanichaji laki nne .. nikageuza fasta .. nikamcheki jamaa yangu akanipa ramani yake free of charge nikapiga jengo.
Hata ukitumia wataalamu ufa unaweza kujitokeza vilevile.usikariri eti coz umetumia mtaalamu haweze fanya makosa.either ni fundi kitaa au mtaalamu yeyote yule anaweza kwa uzembe kusababisha ufa japokuwa makosa kwa mtaalamu huwa sio mara nyingi kama fundi wa mtaani.Kuna mwenzako kaleta uzi analalamika jengo lina ufa, hii tabia ya kutotumia wataalam itawa cost sana.
Sasa wewe umeona laki 4 ni kubwa ila siku yakija kukuta utaanza kulalamika huna ela ya kuziba ufa.
Rahisi ni gharama.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
kusababisha ufa japokuwa makosa kwa mtaalamu huwa sio mara nyingi kama fundi wa mtaani.
Sasa wewe unatakiwa utambue kwanza malengo yako ya kujenga.Mahesabu yangu kwa kuanzia nifikie hatua ya kuezeka, kuweka milango ya nje na kuhamia 25 million haiwezi kunifikisha kwa ramani hiyo? Halafu mengine taratibu?
Mmmmmmhmn inategemea na ujenzi, mafundi uliowapa kazi, eneo, na kadhalika. 25 million ni bajeti ya kueleweka kabisa bona kufanyia maisha.haiwezi kutosha kabisa.
Kujenga pagale/boma peke yake inachukua kama milioni 10 hivi,na kuezeka bati ya msauzi pia inakula milioni 10 kwa hiyo kwenye milioni 25 utakuwa umebakiwa na milioni 5 tu hapo hujajaza kifusi ndani,hujaweka zege ndani,hujapiga plasta,hujaweka magrill lazima ukwame
Babu materials za ujenzi tena uchukue za kichina china....Dah umeniacha hoi hapo kwenye materials, kama ulikua unachukua materials za bei juu kwa kulenga muonekano si ni bora ungechukua materials za mchina tu...mana ni bei ya chini na unakuta mounekano ni mzuri sema tu ni famba. Mi nilidhani ulikua unachagua materials za bei juu kwa kulenga ubora
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa walikupiga. Mafundi sio watu wa kuwaruhusu wakupeleka duka la vifaa vya ujenzi.Ndio hivyo nilikuwa naambiwa na mafundi kwamba ukichukua vya bei ya juu vitaleta muonekano tofauti na pia ubora utakuwa juu lakini sasa hivi nagundua hata huo ubora walioniambia siuoni maana nyumba ilianza kuchubuka rangi kabla hata sijahamia,na baadhi ya kuta zimeanza kutoa alama za nyufa,gypsum nayo inaanza kuachia baadhi ya sehemu.
Na ndio maana sioni utofauti na wale walionunua materials ya bei rahisi upande wa ubora na hata muonekano.
Niliongea kifupi lakini nilimaanisha hivi
Mimi nawashangaa sana vijana,unakuta mtu ana Mil 12 tu.anasema kuwa ndo bajeti ya ujenzi wa nyumba mpka inakamilika..unamuuliza ni bajeti ya banda au nyumba? Anakuona kama una dharauInategemea una haraka kiasi gani kuhamia,kama una haraka sana ya kuhamia sawa haikufai hii ramani.
Na kingine pia kuna nyumba huwa naziona kwenye matangazo zinauzwa kwa bei kama hiyo zinakuwa zimebakiza hatua kidogo kukamilika ila unaweza kuhamia.
Vinginevyo milioni 25 huwezi kujenga nyumba ya kisasa labda ujenge mgongo wa tembo.
Yeah akili ndio kama hizo. Yaani kuna vitu unatazama na hali ya sasa ya uchumi.Niliwahi mfuata Architech anichoree ramani akanichaji laki nne .. nikageuza fasta .. nikamcheki jamaa yangu akanipa ramani yake free of charge nikapiga jengo.
Mimi nawashangaa sana vijana,unakuta mtu ana Mil 12 tu.anasema kuwa ndo bajeti ya ujenzi wa nyumba mpka inakamilika..unamuuliza ni bajeti ya banda au nyumba? Anakuona kama una dharau
Kumbe alikupa ramani yake kwa hiyo mkaigana bila kuwa na uniqueness ya nyumba,pili hiyo yake alichorewa na mafundi au alichora kwa mtaalamu?Niliwahi mfuata Architech anichoree ramani akanichaji laki nne .. nikageuza fasta .. nikamcheki jamaa yangu akanipa ramani yake free of charge nikapiga jengo.
Kwahiyo mil12 huwez jenga hata chumba na sebule cha kuanzia life ili uepukane na kelele za upangajiMimi nawashangaa sana vijana,unakuta mtu ana Mil 12 tu.anasema kuwa ndo bajeti ya ujenzi wa nyumba mpka inakamilika..unamuuliza ni bajeti ya banda au nyumba? Anakuona kama una dharau