frabel
Member
- Mar 13, 2021
- 96
- 60
MAKTABA YA UVIMOTafadhali naomba mchango wa mawazo kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi wa nyumba za makazi.
Ninataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu vyenye sitting, dinning, store na kitchen pamoja na public toilets je gharama ya ujenzi inafika shilingi ngapi kwa nyumba ya kawaida?
Nataka nijenge nyumba walau kwa awamu lakini wachora ramani na kampuni kadhaa nilizowasiliana nazo wananipa mahesabu yanayopishana Sana. Asanteni kwa ushauri wenu
View attachment 1461440
CHANZO CHA WEWE KUMILIKI NYUMBA ISIYO YAHADHI YAKO AU KUTOMILIKI KABISA
Ndugu wadau, katika makta ya Uvimo ya leo, tutajadili sababu za watu wengi kumiliki nyumba ambazo sio hadhi zao au kushindwa kumiliki nyumba kabisa.
Maktaba inakumbusha kuwa Ndoto isiyo na sababu kama kiini na chachu ya kustawisha mafanikio, hufa mapema
Zipo sababu lukuki za kutofanikisha malengo na hatimaye ndoto. Sababu hizi ndizo zimesisimua kushika kalamu kujadilisha haya.
Juma tatu hii ya 27-Sep saa mbili usiku katika group la Uvimo Public Center,
Wasiliana nasi kwa huduma zote za ujenzi
0753927572
0629361896View attachment 1954267