Wenye uzoefu wa ujenzi wa nyumba tafadhali ushauri wenu

MAKTABA YA UVIMO

CHANZO CHA WEWE KUMILIKI NYUMBA ISIYO YAHADHI YAKO AU KUTOMILIKI KABISA

Ndugu wadau, katika makta ya Uvimo ya leo, tutajadili sababu za watu wengi kumiliki nyumba ambazo sio hadhi zao au kushindwa kumiliki nyumba kabisa.

Maktaba inakumbusha kuwa Ndoto isiyo na sababu kama kiini na chachu ya kustawisha mafanikio, hufa mapema

Zipo sababu lukuki za kutofanikisha malengo na hatimaye ndoto. Sababu hizi ndizo zimesisimua kushika kalamu kujadilisha haya.

Juma tatu hii ya 27-Sep saa mbili usiku katika group la Uvimo Public Center,

Wasiliana nasi kwa huduma zote za ujenzi

0753927572
0629361896View attachment 1954267View attachment 1954268
 
Ni kweli fundi wa mwisho aliniambia kwa picha hiyo mfano gharama yake ni mil 55 tofauti kabisa na wengine.
Nadhani ushauri wako ni mzuri sana , ngoja nione wadau wengine wanasemaje
Tena hapo iyo 55 M ni makadirio ila ukienda madukan kwa sasa bei ya vifaa vya ujenzi ime shoot sanaa yaan kila kukicha vitu vina panda bei
 
Tutumie wataalamu jamani yaani umeamua kujenga nyumba ya 20+m laki kadhaa haziwezi kukushinda kumlipa mtaalamu.

Quantity Surveyor (Qs) huyu amekaa darasani 4yrs plus uzoefu wa hizi kazi. Atakusaidia yafuatayo;
1. Kukuandalia BOQ kuonyesha ukubwa wa kila kipengele (element) na gharama zake mfano kulingana na ramani yako ukuta ni mita za mraba ngapi na zitagharimu kiasi gani materials pamoja na labour (ufundi).

2. Atakushauri aina za materials za kutumia kulingana na kipato chako bila kuathiri ubora wa nyumba yako.

3. Atakushauri namna bora ya kupunguza gharama za ujenzi.

Mwisho utapata budget yako ya ujenzi kulingana na ramani uliyonayo. Ukihitaji huduma karibu PM
 
Na support kabisa wataalam ni muhimu mno wazoefu sisi tuliojenga Jenga tunafahamu mahali tuliwahi kukosea na tukajuta
 
Shukurani sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…