Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mliokataliwa kwanza halfu baadae mkakubaliwa tupeni experience zenu. Unakuta unampenda demu. Ukimtongoza anasema yeye ana mahusiano . what should be next. Uendelee kuinsist ama uchomoe!
Hapana Mr KunguruMwanaume unajiita jojo
Mkuu unaishi dar ?
Majina ya waliopoteza mitaji😂😂😂😂😁Mwanaume unajiita jojo
Mkuu unaishi dar ?
👍👍Kwan ww una uwakika kuwa ana mtu wake? We komaa nae tu wengne huwa wanazuga tu
mpe hela, atanogewa atachanua mapaja, mle 0712 then mteme fastawhat should be next
Kwakweli aiseeMajina ya waliopoteza mitaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Unaachana nae kiroho safi unatafuta demu mwingine tu, mbona wapo wa kumwaga?Wale mliokataliwa kwanza halfu baadae mkakubaliwa tupeni experience zenu. Unakuta unampenda demu. Ukimtongoza anasema yeye ana mahusiano . what should be next. Uendelee kuinsist ama uchomoe!
Sijui watu wenye fikra Kama zangu wapo?Wale mliokataliwa kwanza halfu baadae mkakubaliwa tupeni experience zenu. Unakuta unampenda demu. Ukimtongoza anasema yeye ana mahusiano . what should be next. Uendelee kuinsist ama uchomoe!
Kwani utaoa bila kutongoza?Cheki hii 👇
View attachment 2055812
Ushauri bora: Ikimbie zinaa, utakuja kunishukuru ukizingatia ushauri huu
Kwani duniani kazaliwa mzuri peke yake...??
Wachuchu wapo wa kumwaga hadi wengine wanalilia penzi...
Feedback:Kwani duniani kazaliwa mzuri peke yake...??
Wachuchu wapo wa kumwaga hadi wengine wanalilia penzi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume unajiita jojo
Mkuu unaishi dar ?