makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Nipe namba zakee nimemseee huyo muomba afu hamsiniiiiii 🥹Babu sijakutenga ni shida tu za utafutaji hapa sahivi Nina sku nne napiga deiwaka ya kupiga rangi najifunza kwa braza angu expert mwanangu kwahyo Ata kushika simu ni terrible mzee Ila ndo hvo nimeomba fifty nikatia unyonge
Nipe namba zakee nimemseee huyo muomba afu hamsiniiiiii 🥹
Niombee deiwaka basi nije nipige rangiiii
Homeboy huyo, Ukerewe moja.Mulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Muliwa?
Mwanza wapi? Nyamagana? Malimbe? Nyegezi au wapii?Karibu mwanza mkuu 🤣nishapiga chini
Joanah anaweza hadi kutamka vizuri jina la golikipa wa BarcelonaJf forum mademu wanawake wote wanaanzia 48 na kuendelea sasa utasemaje hawa ni mademu mkuu mtu yupo anachangia Mada za M23, Hamas, mwanamke anapajua hadi Kongo katanga🤣, mwanamke wa jf anamjua mpaka wenje na Bon yai, mwanamke wa jf Kila sku yuko busy kubishania hezbollah mara Hamas🤣mwanamke anajua hadi kubeg laliga, El clasico🤔
BuhongwaMwanza wapi? Nyamagana? Malimbe? Nyegezi au wapii?
Niko malimbe huku
Nimecheka sana 😂
Nasema huyo sio demu
Afu ndo nimekumbuka Sasa hivi kitu nimecheka sanaaa!Buhongwa
Una mishe gani Sasa jobless mwenzanguAfu ndo nimekumbuka Sasa hivi kitu nimecheka sanaaa!
Niliombwa afuuu hamsiniiiiii kweli ila Ile text ya What's up sikuifungua ... Nikaifutaaaa pasipo kuifunguaaa
Jobless lazima uwe na Roho ya ubahiliiiiii
Kesho ntakuwa hapo buhongwa kwenye daladala zinapopakii karibia na mtaaa
Na wengne Wana bet 😂
Si nakuja unipe deiwakaaa alaaaaah 😂Una mishe gani Sasa jobless mwenzangu
Muacheniii anti yake junior 😂😂
Hivi upo seriasSi nakuja unipe deiwakaaa alaaaaah 😂
Uko mwanza??Karibu mwanza mkuu 🤣nishapiga chini