Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Babu sijakutenga ni shida tu za utafutaji hapa sahivi Nina sku nne napiga deiwaka ya kupiga rangi najifunza kwa braza angu expert mwanangu kwahyo Ata kushika simu ni terrible mzee Ila ndo hvo nimeomba fifty nikatia unyonge
Nipe namba zakee nimemseee huyo muomba afu hamsiniiiiii 🥹

Niombee deiwaka basi nije nipige rangiiii
 
Jf forum mademu wanawake wote wanaanzia 48 na kuendelea sasa utasemaje hawa ni mademu mkuu mtu yupo anachangia Mada za M23, Hamas, mwanamke anapajua hadi Kongo katanga🤣, mwanamke wa jf anamjua mpaka wenje na Bon yai, mwanamke wa jf Kila sku yuko busy kubishania hezbollah mara Hamas🤣mwanamke anajua hadi kubeg laliga, El clasico🤔
 
Jf forum mademu wanawake wote wanaanzia 48 na kuendelea sasa utasemaje hawa ni mademu mkuu mtu yupo anachangia Mada za M23, Hamas, mwanamke anapajua hadi Kongo katanga🤣, mwanamke wa jf anamjua mpaka wenje na Bon yai, mwanamke wa jf Kila sku yuko busy kubishania hezbollah mara Hamas🤣mwanamke anajua hadi kubeg laliga, El clasico🤔
Joanah anaweza hadi kutamka vizuri jina la golikipa wa Barcelona

Wojciech SzczÄ™sny.​

 
Afu ndo nimekumbuka Sasa hivi kitu nimecheka sanaaa!

Niliombwa afuuu hamsiniiiiii kweli ila Ile text ya What's up sikuifungua ... Nikaifutaaaa pasipo kuifunguaaa

Jobless lazima uwe na Roho ya ubahiliiiiii

Kesho ntakuwa hapo buhongwa kwenye daladala zinapopakii karibia na mtaaa
Una mishe gani Sasa jobless mwenzangu
 
Back
Top Bottom