Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
- #21
Ndiyo namna ya kumuanza sasa hata huyo Qashy Lilith ili awe demu wangu nacho ni kipengeleMchukue Qashy Lilith c unaona anazagaa zagaa kwenye uzi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo namna ya kumuanza sasa hata huyo Qashy Lilith ili awe demu wangu nacho ni kipengeleMchukue Qashy Lilith c unaona anazagaa zagaa kwenye uzi wako.
Eh Sawa kiongozi, kumbe wanazingatia hadi uandishi!Kwa uandishi huo sioni ukipata mtu asee🥲
Upweke mbaya snaa, we fikiria toka asbh hakuna sms ya lavidavi, zimejaa sms za oyaa, mkuu.Successfully paired😹
Pakuanzia sasa yaani hata sijuwi huwa wanaanzia wapi au mwenzangu una kijiuzoefu kidogo kwenye haya mambo?Mkuu mim mwaka huu hauishi lazima ning'oe mtoto hum
Unashangaa kwani wewe siyo demu wewe!Ninashangaa inakuwaje kuwaje Kuna jamaa aliwah Nambia alimla dem wa JF arusha
Sema jamaa ana mawe
Me mwanaume bossUnashangaa kwani wewe siyo demu wewe!
Me mwanaume bossUnashangaa kwani wewe siyo demu wewe!
Afu mtu anakuwa na hasira ajabUpweke mbaya snaa, we fikiria toka asbh hakuna sms ya lavidavi, zimejaa sms za oyaa, mkuu.
Mkuu anzia hapa hapa mkuu, nenda pole pole kwenye Uzi huu lazima utoke na kituPakuanzia sasa yaani hata sijuwi huwa wanaanzia wapi au mwenzangu una kijiuzoefu kidogo kwenye haya mambo?
Sanani utani tu
wapo wenye mahusiano rasmi ila hawatangazi
Duh sasa hiyo picha sasa!Me mwanaume boss
Hawez pata umeona Majibu yake lakin??Mkuu anzia hapa hapa mkuu, nenda pole pole kwenye Uzi huu lazima utoke na kitu
😂😂😂 Ila mkuu una nini lakini?Kwa uandishi huo sioni ukipata mtu asee🥲