SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hapana na mimi sijawahi kukuambia nakuhitaji na wala sijataka mazoea nawewe sijui hata unatakaje mie nacharti na mtu.mwingine umeingilia kati lakiniKwanza mm nishawai kukuambia nakupenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana na mimi sijawahi kukuambia nakuhitaji na wala sijataka mazoea nawewe sijui hata unatakaje mie nacharti na mtu.mwingine umeingilia kati lakiniKwanza mm nishawai kukuambia nakupenda?
Usiwape watu faida siongei tena mimiHapana na mimi sijawahi kukuambia nakuhitaji na wala sijataka mazoea nawewe sijui hata unatakaje mie nacharti na mtu.mwingine umeingilia kati lakini
Eh unatatizo nikusaidiaje?? Maana sikuelewi unavyosema kuwa nakusema nafaidisha watu sijakuelewaUsifaidishe watu wengine
Mkuu naweka maiki pembeni hapa.Kwanza mm nishawai kukuambia naknakupenda
Unashida gani lakini???Usiwape watu faida siongei tena mimi
Na ww usikatishe endeleeni tu sisi hata hatusomiUsiwape watu faida siongei tena mimi
Kuna ten linazagaa zagaa 😅😅😅Mchukue Qashy Lilith c unaona anazagaa zagaa kwenye uzi wako.
Mkuu angalia naonewa bila kujua shida nini??Mkuu naweka maiki pembeni hapa.
Haya ongea unachotaka kuongea si lengo lako jf wajue ongeaEh unatatizo nikusaidiaje?? Maana sikuelewi unavyosema kuwa nakusema nafaidisha watu sijakuelewa
Eh jamani kunanini humu mwachiluwi???Haya ongea unachotaka kuongea si lengo lako jf wajue ongea
Mchukue Qashy Lilith kama una Ten linazaga zaga nipe nikuunge naye....😅😅😅Successfully paired😹
Nisihusiswe tafadhali mimi ni mgeni hapa, sijuwi huwa munaishije wacha nieke maiki pembeniMkuu angalia naonewa bila kujua shida nini??
Embu sikia acha kuniqoute tusi haribiane siku af fanya kama sipo kwenye hii threadEh jamani kunanini humu mwachiluwi???
Eh!
Sasa mie sijui tulikuwa tunacharti nawewe tukavamiwaNisihusiswe tafadhali mimi ni mgeni hapa, sijuwi huwa munaishije wacha nieke maiki pembeni
Dah 🙌Na ww usikatishe endeleeni tu sisi hata hatusomi
Mbona mie sijakufuata??Embu sikia acha kuniqoute tusi haribiane siku af fanya kama sipo kwenye hii thread
Si ulikuwa unaongea mafumbo au unafikiri sikusoma?Sasa mie sijui tulikuwa tunacharti nawewe tukavamiwa
Hebu mtungieTitle tu haivutii
Mademu humu wachache wengi midume...Oyaaa