Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Wewe ni Kijana masikini halafu humu wote ni matajiri tafuta hela kwanza
Huu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
OIG3.mW.jpeg
 
Huu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3231007
Kidumu,
Hata kama ni majobless tujitahidi tuwe na pisi, kuwa single ni shido😂 jokin😂
 
Back
Top Bottom