Mwanaume
Umeongea as if umeshawahi kuwa mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume
Akili zenu si moja, mwalimu wenu piaUmeongea as if umeshawahi kuwa mwanamke
Unaambatana na wenzako wenye akili kama zako thats why mpo na mawazo sawa
Labda ya mkeo mama na dada zakoAkili zenu si moja, mwalimu wenu pia
Hahaha unataka kutumia maneno nichukie?jaribu tena sijachukia km ulivyonuna wwLab
Labda ya mkeo mama na dada zako
Acha bas, kwa taarifa yako wanawake wanaanza kuwashwa na kuchepuka wakishajua mumewe anachepukaNyie ndio mnaotuchosha na nyuzi za kulalamika kusalitiwa na wanawake wenu. Kisa kujifanya kunyenyekea wake zenu. Hamjui mbinu za kuishi na wanawake.
Na wanawake wanao chepuka wakati waume zao hawachepuki hii imekaaje?Acha bas, kwa taarifa yako wanawake wanaanza kuwashwa na kuchepuka wakishajua mumewe anachepuka
Hahaha unataka kutumia maneno nichukie?jaribu tena sijachukia km ulivyonuna ww
Hahaha fanya kitu cha kuniuzi basi tuwe draw mnk mi nishakutoa povu tyrRelax budy , next time acha wenye jinsia yao wajizungumzie
Kutusingizia tu hamjambo.espy nini tena [emoji13] [emoji13]
ChildishHahaha fanya kitu cha kuniuzi basi tuwe draw mnk mi nishakutoa povu tyr
ChaiWanaume wasiochepuka wako wengi tu kwenye jamii sema hawazungumziwi sana kama wale wanaochepuka. Niwapongeze sana kwa kujitambua na kuheshimu agano la Ndoa