Wenye wapenzi/waume wasiochepuka tukutane hapa

Wenye wapenzi/waume wasiochepuka tukutane hapa

Njia kuu ndo sahihi, simu yangu haina password, yeye hana Facebook wala instangram anatumia zangu yeye ndo admin yeye ana what's up ambayo mimi huitembelea muda wote. Mipango yetu ya maisha tunaifanya pamoja for 13yrs now! Wanatuita mapacha. Sio kwamba hatukwaruzani lkn nikiona Sababu ni Mimi na keep down low. Tunakwaruzana sana tukiwa barabarani yeye hapendi niendeshe kwa spidi. Safari inaweza ikawa chungu mpaka tunakofika. Mpe yeye sasa aendeshe yaani spidi, breki za ghafla ni vituko tu. Uvumilivu anahitajika
Hongera, nimependa hii
 
Wanaume mwenye wanawake wengi kwao ndo wana mvuto na asiyekuwa na wanawake wengi basi wao wanawaza huyu hana mvuto,ndugu yangu kama na wewe ni mwanaume nahuchepuki basi hakikisha mkeo anajua kuna wanawake wengine wanakusumbua ila wewe umeamua kutulia na yeye.Huu ushauri ukiuangalia juu juu niwakipuuzi kabisa lakini mambo yakipuuzi ndo yanafanya wanawake wanapenda sana wanaume wapuuzi na kuwaacha decent men.Shangaaa na wewe

Wewe ni mwanamke?
 
Acha kumtiasha mwenzio bwana 🤣🤣
Ni ukweli mchungu mkuu, kati ya wanawake 10 wa kileo ambao wako tayari kuvuliwa chupi na mume freely bila kulalamika hawazidi wawili mzee.

Wengi ni wale wa "nimechoka bana," "humalizii tu aargh?" , "Unachojua ni hiki tu", " "Tutafanya kesho", "Kama sijiskii nifanyeje!", "Fanya haraka nataka nilale zangu"

Mkuu shukuru mungu sana amekujalia mke na si ilimradi mwanamke tu. Wenzio wanajuta kuoa, af mume akichepuka hapo anaonekana mbaya kumbe angenziwa kama mfalme kwa mchepuko!
 
Wanaume wasiochepuka wako wengi tu kwenye jamii sema hawazungumziwi sana kama wale wanaochepuka. Niwapongeze sana kwa kujitambua na kuheshimu agano la Ndoa
Ni kwamba hamtujui vizuri tu
 
Wanaume wasiochepuka wako wengi tu kwenye jamii sema hawazungumziwi sana kama wale wanaochepuka. Niwapongeze sana kwa kujitambua na kuheshimu agano la Ndoa
Sio kwamba hawachepuki, ni kwamba wamewazidi ujanja. Endeleeni kuwa maboya kwa kuwaza hawachepuki.
 
Nimeshaamua, Nikioa tu, kuchepuka never!Ila mke wangu ajiandae serekasi kama za Jet Lee kila anapokuwa fit. Yaani nitamvumilia akiwa hayuko ok, ila siku ambazo yupo vzr ni tizi kwenda mbele!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hata ktk mahusiano kuchepuka sio jambo zuri kabisa....tatizo huja pale mwanamke akijua unaye yy tu yaan kwake umetuliza boli ndio huanza kucheza sarakasi za kina Donnie yen hadi utashangaa...niliwah kumpenda demu fln yaan kumpenda haswa na wadada wengne sikuwa na time nao kabisa nayy alilijua hili ,simu ilikuwa kama yake vile,tukinunua nguo tunavaa za same color yaan everything we were doing as twins, ila siku aliponiacha ndio nikajua nini madhara ya kuwa na one choice in life...it was hard for me yo forget na saiv nishapata mwingne ila mchepuko ukikatiza sidengui kabisa kama zamani...

Mapenz yaacheni tu siku yakikukuta kwa mty uliyemuona kama pacha wako you will lose trust kabisa....unaweza kuua pia
 
Nimeshaamua, Nikioa tu, kuchepuka never!Ila mke wangu ajiandae serekasi kama za Jet Lee kila anapokuwa fit. Yaani nitamvumilia akiwa hayuko ok, ila siku ambazo yupo vzr ni tizi kwenda mbele!
Hilo hawataki, if thats what you expect kwa mwanamke wa kileo you'll end up very disappointed. Labda awe mama wa nyumbani tu!
Ninaafikiana na wewe mkuu.

Yaani labda abahatike apate mwanamke mwenye sex drive kubwa.
 
Back
Top Bottom