Kuchepuka hutokea ukiingia katika uhusiano na mtu asiyeelewa aidha ku play katika role yake ama incompatibility issues.
Katika kutafta namna ya ku compromise magepu ndio hapo watu huamua kufidia mapungufu kwa michepuko.
But i can assure you wanaume waaminifu tupo wengi tu and what we only demand is feeling loved genuinely(kuhudumiwa, unlimited sex, kubembelezwa) and respected (Bila kiburi,kauli chafu,usaliti pia hekima na busara) at par! Kikikosekana kimoja toka kwa main chick lazima vitapatikana nje tu na no man will turn down such kind of offer!