Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Both side....mchepukaji hana hatia simply he/she has influence factorMbona hueleweki Upo upande upi sasa?
Itanichukua mwezi kuzimaliza vanillaHebu zitaje tuziweke kwenye mzani
Kuna siku utaleta uzi kuomba ushauri utakapogundua kuwa mmeo ananyumba ndogo huko na ina watoto kama 2 hivi.Ndio ukweli huo. Wenye akili wanajua kuchepuka sio dili
Unakaribia kuchepuka sasa..kila kitu ni kuamua tu. niliamua sitachepuka na nimeweza huu ni mwaka wa kumi sasa
ThanksNyie ndo mnaotengeneza watoto waliolelewa vyema hapo baadae ambao watakuwa wachache sana.
Hongereni sana kwa kujitambua wewe na mkeo
Mnaanzaga hivyo baadaye mnakuja mnalialia hapa.Utasubiri sanaaaaaaaa
Tunashukuru mmetukumbuka aisee.Wanaume wasiochepuka wako wengi tu kwenye jamii sema hawazungumziwi sana kama wale wanaochepuka. Niwapongeze sana kwa kujitambua na kuheshimu agano la Ndoa
Not a man not a woman anetaka kuchepuka bila sababu sasa sababu huwa zinakua ni nyingi,sio mpaka kila mtu tujisifie hapa kuwa hatujawahi kuchepuka ila tupo wengi tu na sio mpaka to bring our story out to public....lets not point out fingers to the cheaters
Omba sana upate mtu atakae kuwa zaidi ya mume .....naona kuna vitu bado hujavijua kwanza wewe upo kwenye ndoa msema kweli kipenzi cha MunguNo one is pointing fingers! It’s simply to acknowledge and appreciate the faithfull ones. Anayechepuka anaamua mwenyewe nothing has ever been a justification for cheating.
Omba sana upate mtu atakae kuwa zaidi ya mume .....naona kuna vitu bado hujavijua kwanza wewe upo kwenye ndoa msema kweli kipenzi cha Mungu