Wenye wivu mlie tu, mambo ya Kajala si mchezo


Ni sipongi hoja yako na pia naona ina mapungufu
1st sidhan kama kuna MTU anamponda au ana chuki sababu kajala amepanda business class
2nd she deserve s credit no.matter what
3rd ulimbukeni hapo ndo tatizo na ushamba Wa watu unapoonekana au kujionesha
 

Honesty is definition of strength
Hongera ndugu
 
Kijana mzungu yupo pembeni yake anasoma, yeye anaishia kupiga picha.
 
Kashakua punda Huyu hamna jipya hapo, Ana kipato gani cha kupanda first class?
 
Hana jipya huyo alishidwa kujiokoa mwenywe,akaokolewa na wengine
 

kwa hiyo ukishapanda unapiga picha watu waone!!
 
wani kashamaliza deni analodaiwa na wema???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…