Wenyeji/Wakazi wa TANGA MJINI nipeni uelekeo wapi naweza nikapata kazi...

Wenyeji/Wakazi wa TANGA MJINI nipeni uelekeo wapi naweza nikapata kazi...

Mropoka Hovyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
446
Reaction score
1,253
Aminia sana wakuu. Moja kwa Moja kwenye Mada, Wakuu Naomba mnipe uelekeo nahitaji kujua sehemu gani TANGA MJINI ambayo naweza nikapata kazi zile nzito nzito za ujenzi au kubeba zege au kwenye viwanda vya nondo vya wahindi kama vipo, Viwanda vya cement, Kushusha mizigo nk. Ili nikatafute kazi.

Msaada wenu pls nasubiria maelekezo hapa...
 
Viwanda vyote vina hizo kazi,
1. Mabanda papa pale njia ya pangani kuanzia Duga kwenye mbao hadi kiwanda cha mafuta

2. Kange kama unaenda pongwe viwandani kule hasa hivyo vya cement

3. Amboni viwanda vya chokaa etc.
 
Viwanda vyote vina hizo kazi,
1. Mabanda papa pale njia ya pangani kuanzia Duga kwenye mbao hadi kiwanda cha mafuta

2. Kange kama unaenda pongwe viwandani kule hasa hivyo vya cement

3. Amboni viwanda vya chokaa etc.
Shukrani mkuu kwa kunipa uelekeo.
 
Back
Top Bottom