Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta bwana mwingine sabaya anaozea jela dada, naona unaangaika!!!Kwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Kazi ya Mungu inaendelea na Mungu yupoKwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Labda kama wewe ni mgeni wa kesi hiyo, hao wenzake wawili, kila siku walikuwa wakitajwa na vyombo vya habari, !!sio kila kitu ni cha kuanzisha uzi wakati mambo mengine , yako wazi tu??yaani toka kesi imeanza karibu miezi 6, sasa hadi leo hujui kama hao wenzake majina yao yapo wazi tu?!!Kwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Binafsi hua nasikia tu Sabaya na wenzake watatu.Labda kama wewe ni mgeni wa kesi hiyo, hao wenzake wawili, kila siku walikuwa wakitajwa na vyombo vya habari, !!sio kila kitu ni cha kuanzisha uzi wakati mambo mengine , yako wazi tu??yaani toka kesi imeanza karibu miezi 6, sasa hadi leo hujui kama hao wenzake majina yao yapo wazi tu?!!
Ni Sylvester Nyegu na Daniel Mbura, mbona huwa wanatajwa, ila kuna mmoja kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayoendelea hayumo!!Binafsi hua nasikia tu Sabaya na wenzake watatu.
Hata sijui hao wenzake na kwa nini wasiwe wanataja Sabaya,...,..., Na...
Asante kwa ufafanuziNi Sylvester Nyegu na Daniel Mbura, mbona huwa wanatajwa, ila kuna mmoja kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayoendelea hayumo!!
We ni kasomi kajinga mkuuKwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Inamaana bado kesi zingine? MmmhNi Sylvester Nyegu na Daniel Mbura, mbona huwa wanatajwa, ila kuna mmoja kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayoendelea hayumo!!
Tunaomba kidogo,Dah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Mkuu funguka kidogoDah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Tamaa zimemponza,mwache aozee jela laleki zake.Dah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Watosombwaje na Ubaya wa Sabaya wakati wao ndio walikuwa killings machine ya Sabaya na kila sehemu alikuwa anaenda nao?Ila Hawa jamaa wamesombwa na ubaya wa sabaya na lawyers wao walikua very incompetent!
Sabaya na silvester nyagu bado, wako na kesi nyingine ya uhujumu uchumi!!Inamaana bado kesi zingine? Mmmh