sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Amani iwe nanyi.
Naomba tu mnisaidie kwani sijielewi hata kidogo. Nipo kwenye kiwango cha juu cha hasira iliyochanganyika na mvurugo wa akili. Chanzo ni mambo na changamoto za kimaisha.
Sasa nyie mnafanyaje kuwa sawa pindi mnapokutana na hali kama hii?
Pengine mbinu unayotumia itanisaidia na mimi.
Wasalaam!
Naomba tu mnisaidie kwani sijielewi hata kidogo. Nipo kwenye kiwango cha juu cha hasira iliyochanganyika na mvurugo wa akili. Chanzo ni mambo na changamoto za kimaisha.
Sasa nyie mnafanyaje kuwa sawa pindi mnapokutana na hali kama hii?
Pengine mbinu unayotumia itanisaidia na mimi.
Wasalaam!