Wenzangu mkiwa na hasira au kuvurugwa kichwa mnafanyaje ili mkae sawa?

Wenzangu mkiwa na hasira au kuvurugwa kichwa mnafanyaje ili mkae sawa?

Kiuchumi ukoje kwanza? Maana kuna zile hasira za kutokua na pesa mfukoni.. unakuwa mtu wa kulaumu na kuchukia kila mtu.
 
Daaaaaah!mkuu Kama unakituo Cha unasihi gawa mawasiliano.Umenipa maneno machache yaliyobeba kila aina ya encouragement.
Hapana mkuu, sema misala imenikomaza. Nimekuwa gaidi mbobezi wa changamoto za maisha. So naona kila kitu kawaida tuu. Nikipata challenge yoyote najifikiria mimi kwanza.

Naamini maisha ni changamoto, matatizo tumeumbiwa wanadamu na suluhu ni kutatua na ku-move on, tatizo liishe nawe uendelee kuishi.

Maisha matamu sana aisee, hebu fikiria dona kwa dagaa plus mtindi vilivyo vitamu...
 
Amani iwe nanyi.

Naomba tu mnisaidie kwani sijielewi hata kidogo. Nipo kwenye kiwango cha juu cha hasira iliyochanganyika na mvurugo wa akili. Chanzo ni mambo na changamoto za kimaisha.

Sasa nyie mnafanyaje kuwa sawa pindi mnapokutana na hali kama hii?

Pengine mbinu unayotumia itanisaidia na mimi.

Wasalaam!
Binafsi huwa najiuliza maswali, mfano hili lisingetokea ningekuwa kwenye hali gani kwa wakati huo?
Kama ni mtu amesababisha, je asingekuwepo kwenye maisha yangu ningekuwa katika hali gani?
Then naanza kumeditate hiyo hali ambayo ningependa kuwa nayo.
Lakini pia huwa naamini kama jambo limetokea nje ya uwezo wangu, basi lina kusudi maalum. Naendelea na maisha!

Kumbuka:, vitu, watu au hali za maisha visiwe kikwazo cha furaha yako!
 
Kiuchumi ukoje kwanza? Maana kuna zile hasira za kutokua na pesa mfukoni..unakua mtu wa kulaumu na kuchukia kila mtu.
Angalau najiweza na kutegemewa. Hasira hii haitokani na ukosefu wa pesa.
 
Karibu gym gonga ngumi kwenye purching cover toa nyama uzembe piga kazi kwa hasira, nunua pamba Kali pendeza enjoy

Usisahau formula kuwa player is must wanawake wanashoboka htr na ukimwi upo kila la kheli, that is my life.

Hapo kwenye gym ndo mahala pake huwa napiga uzito wa maana nikitoka hapo nimechoka mwili mpka roho majamu yote yameisha!
 
Hapana mkuu, sema misala imenikomaza. Nimekuwa gaidi mbobezi wa changamoto za maisha. So naona kila kitu kawaida tuu. Nikipata challenge yyte najifikiria mimi kwanza.
Naamini maisha ni changamoto, matatizo tumeumbiwa wanadam na suluhu ni kutatua na ku-move on, tatizo liishe nawe uendelee kuishi.
Maisha matam sana aisee, hebu fikiria dona kwa dagaa plus mtindi vilivyo vitamu...
[emoji23]
 
Binafsi huwa najiuliza maswali, mfano hili lisingetokea ningekuwa kwenye hali gani kwa wakati huo?
Kama ni mtu amesababisha, je asingekuwepo kwenye maisha yangu ningekuwa katika hali gani?
Then naanza kumeditate hiyo hali ambayo ningependa kuwa nayo.
Lakini pia huwa naamini kama jambo limetokea nje ya uwezo wangu, basi lina kusudi maalum. Naendelea na maisha!

Kumbuka:, vitu, watu au hali za maisha visiwe kikwazo cha furaha yako!
Mbinu yako ni nzuri. Naamini itanisaidia pia.
 
Mara nyingi changamoto ni mkusanyiko wa changamoto ndogondogo ambazo zimetengeneza hiyo kubwa.

Makosa tunayoyafanya wengi ni kuichukua kama ilivyo kwenye ukubwa wake na kutaka kuitatua, tunaishia kwenye panic, hasira na kujiona hatufai

Njia bora ni kuigawanya hiyo changamoto kwenye mambo madogo na kutatua moja baada ya nyingine.
 
Mi nikiwa na hasira nasokota msokoto mmoja wa ndumu, kisha naangalia series ya Snowfall Season 1 mpaka 5 nikimaliza hapo hasira zote zimeisha
Sasa ngoja nikushauri kama wewe ni mpenzi wa muvi ... piga kitu chako cha arusha then shushia na kuangalia bonge moja la muvi inaitwa KISS AND KILL ... angalizo hakikisha ndumu inakukolea utakuja nishukuru
 
Sasa mkuu aliyenikasirisha ndo mwenye kumiliki hiyo mbususu.Naichakataje sasa
Aggrrhhh mkuu unafeli mbususu zimejaa ivi town fb uko yani mi nikiingia fb sikosi demu ntafeli tu akiwa mkoa wa mbali. Mwanaume inabidi uwe na mwanamke zaidi ya mmoja.
 
Sasa mwambie ajipongeze na nini...umemuacha juu juu
Akishazingatia hayo atagundua ni eneo gani alikuwa anapoteza, na hili kama hauko makini unaweza kufikiri umelogwa kumbe wewe mwenyewe ndio unajiloga kwa kuendekeza tabia mbofu mbofu, Tabia tabia tabia!
 
Huyo aliye leta Heineken pepo atapasikia tu maana hata unywe kreti zima baada ya pombe kwisha kichwani tabu ipo pale pale zaidi sana umepoteza pesa yako bure, kwanza nikinywa bia naumwa kichwa balaa na kulala nashindwa kabisa.
 
Back
Top Bottom