Wenzangu mkiwa na hasira au kuvurugwa kichwa mnafanyaje ili mkae sawa?

Wenzangu mkiwa na hasira au kuvurugwa kichwa mnafanyaje ili mkae sawa?

Mkuu sepema Jenga mazoea ya kucheza na watoto. Binafsi huwa napata furaha sana napokuwa na watoto na kusahau magumu yote
Kwa jinsi nilivyo Leo naona hata mtoto akisogea karibu yangu ananiongezea hasira. Anyways, ngoja nijaribu kuwaita huko nje walipo.
 
sepema pole sana rafiki , fanya hivi ondoka walipo watu kakae mwenyewe na ufanye kile ambacho uwa unakipenda sana mfano kama unakunywa pombe agiza hata bia moja unywe huku unawaza mambo ya maendeleo juu ya maisha yako

Baada ya muda hasira zitaisha na utakuwa kawaida baada ya hapo sasa ni muda wa kuwasamehe wote waliosababisha hasira either kwa kuapa kutolipa kisasi au kuwaface .Kwa hayo utakuwa umeregain katika hali yako ya kawaida.

Ushauri tu [emoji120][emoji120][emoji120]

TEKERI.
Asante San mkuu.Nimependa Ushauri wako.Leo nitaenda nipate1 ila changamoto nikwamba nikirudi home nitamkuta huyo aliyenivuruga kichwa.

Kumsamehe tu ndo naona suluhisho Ila sas kwa aina yakosa napata shida kumsamehe haraka asee
 
Kwa jinsi nilivyo Leo naona hata mtoto akisogea karibu yng ananiongezea hasira.Any ways,ngoja nijaribu kuwaita huko nje walipo
Kwa hali uliyofikia ondoka mazingira ya home nenda mbali kashangae mji mengine mengi halafu urudi home baade Kabisa
 
Kutwa shinda Jamii Forums... utakuja nishukuru baadae...
 
Nenda kwa pusha, mwambie akunyongee cha buku au buku mbili, piga halafu ingia za ndani lala.
 
Pole mkuu. Chukua kioo, jitazame, je unaweza kuona kisogo chako? Kama haiwezekani basi sahau kila kitu. Mwanadamu anatakiwa kufocus mbele TU, nyuma sio salama.
Samehe uwe huru, hata kama aliekukosea aondoke maishani mwako, don't bother thinking back. Maisha yenyewe mafupi haya, yeye ni nani akunyime raha mkuu...
 
Kata kichwa kiweke pembeni halafu unakiangalia kwa dharau
 
kutwa shinda jamii forum...utakuja nishukuru baadae...
Lakini hii nayo ni kweli. Kuna watu wenye changamoto humu ambazo ukizipitia unagundua Bora wewe(Mimi)
 
Pole mkuu. Chukua kioo, jitazame, je unaweza kuona kisogo chako? Kama haiwezekani basi sahau kila kitu. Mwanadamu anatakiwa kufocus mbele TU, nyuma sio salama.
Samehe uwe huru, hata kama aliekukosea aondoke maishani mwako, don't bother thinking back. Maisha yenyewe mafupi haya, yeye ni nani akunyime raha mkuu...
Daaaaaah! Mkuu Kama una kituo Cha unasihi gawa mawasiliano. Umenipa maneno machache yaliyobeba kila aina ya encouragement.
 
Amani iwe nanyi.

Naomba tu mnisaidie kwani sijielewi hata kidogo. Nipo kwenye kiwango cha juu cha hasira iliyochanganyika na mvurugo wa akili. Chanzo ni mambo na changamoto za kimaisha.

Sasa nyie mnafanyaje kuwa sawa pindi mnapokutana na hali kama hii?

Pengine mbinu unayotumia itanisaidia na mimi.

Wasalaam!
Mimi natafuta piss Kali. Ule moto nitampelekea unakuwa wa hatari. Nikishapiga risasi kadhaa nakuwa sawa kabisa na Tena nikipata bia ya bariiiiidi.

Kesho hasira hakuna, Sasa kumbuka kuna tofauti ya stress na hasira. Kama wewe ni Ke sijui Sasa labda waje na experience
 
Tafuta kitu cha kuuchosha mwili
Toa na mifano basi.
Mfano piga nyeto hata goli sita yaan hadi uhisi unatokw damu!
sorry waungwana eti hata bao za nyeto zinaitwa goli?(natania bro) ila utakuwa angalau umecheka eti??

Ukweli ndugu maisha yamejaa stress,
Kuna ndugu kwa muda huu kakamatwa sero/mahabusu anatakiwa ndugu/jamaa amdhamini ila hamuoni!
Kuna mwingine kahukumiwa miaka 30 aishi gerezani mbali na ndugu/jamaa zake.
Huyu mwingine kaenda hosp wanamwambia gharama za matibabu ni 150,000/- wakati alienda na 5500(malipo na nauli) akiamini hata chenji itabaki.
Yule kodi ya pango imeisha na ashapewa onyo mwezi uliopita asirudie kuchelewesha malipo.
Huyu kakopa nauli kaenda kufuatilia madai yake,wanamwambia mtandao upo chini,rudi baada ya mwezi.
Daa,yule kafiwa na mtu wake aliyekuwa akimshika mkono mjini.
Huyu gari lake limepata ajali likiwa na mzigo mkubwa na kuna hadi pesa ya mkopo wa benki.

Orodha ni ndefu,nikutajie majirani wangu wengine wenye shida zaidi yako?? Hapana!
Tunaishi,huu ni mchezo'mchezo wa maisha' tuucheze basi mpaka sakika 90 ziishe!!
 
Back
Top Bottom