Wenzangu mkiwa na hasira au kuvurugwa kichwa mnafanyaje ili mkae sawa?

Sasa mwambie ajipongeze na nini...umemuacha juu juu
 
Tafuta manzi muda huo huo chakata mbususu utakuja nishukuru au chukua maji ya vuguvugu nawa uso na kichwa.
 
Hapo napo matatizo ni mengi japo yanayosababisha hasira nayo ni janga lingine.
 
tafuta manzi muda huo huo chakata mbususu utakuja nishukuru. au chukuwa maji ya vugu vugu nawa uso na kichwa
Sasa mkuu aliyenikasirisha ndo mwenye kumiliki hiyo mbususu. Naichakataje sasa.
 
Karibu gym gonga ngumi kwenye purching cover toa nyama uzembe piga kazi kwa hasira, nunua pamba Kali pendeza enjoy

Usisahau formula kuwa player is must wanawake wanashoboka htr na ukimwi upo kila la kheli, that is my life.
 
Nalazimisha ubongo kupuuzia adha na kuingiza mambo mengine ktk ubongo yatakayosawazisha akili yangu.
 
Ukute ni nyege hizo zinakusumbua, piga nyeto halafu uje kuleta mrejesho
 
Huyo aliye leta Heineken pepo atapasikia tu maana hata unywe kreti zima baada ya pombe kwisha kichwani tabu ipo pale pale zaidi sana umepoteza pes yako bure, kwanz nikinywa bia naumwa kichwa balaa na kulala nashindwa kabisa.

Punguza kuzisemea bia ujinga..!!!!

#YNWA
 
Punguza kuzisemea bia ujinga..!!!!

#YNWA

Punguza kuzisemea bia ujinga..!!!!

#YNWA
Ukiwa mtu wa kumaindi vitu vya kijinga kiasi hiki utatupa wasiwasi uwezo wako wa kuhimili mambo ya msingi ... na siyo kila hoja hapa ni yakupingwa hapa tunajaribu kumsaidia ndugu yetu ili apunguze mawazo... au kubishana na kupiga kila kitu ni asiliyako mkuu.... mawazo huru
 
Mi nikiwa na hasira nasokota msokoto mmoja wa ndumu, kisha naangalia series ya Snowfall Season 1 mpaka 5 nikimaliza hapo hasira zote zimeisha
 
Mi nikiwa na hasira nasokota msokoto mmoja wa ndumu, kisha naangalia series ya Snowfall Season 1 mpaka 5 nikimaliza hapo hasira zote zimeisha
 
Nakunywa pombe tokea Niko form 5 mpaka leo.
Ni zaidi ya miaka 16 iliyopita na mpaka leo nakunywa pombe.

Ukiniambia pombe ndio inanifanya nisijenge, we mnywa soda utatakiwa kunionyesha nyumba yako.

After all it's a social media.

Uongo ni mwingi kuzidi ukweli.

Stop kukuza mambo..!!!

#YNWA
 
Kama una mke piga game, utatulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…