BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Bongo uswahili ni mwingi sana, na bado sana hata kwenye ushabiki wa Mpira, tuna ushabiki mwingi wa mdomoni wa kubishana kwenye vijiwe vya kahawa na mitandao ya kijamii kama humu.
Emegine kwamba mashabaki wenye timu yao lazima wahamasishwe, gari izunguke mtaani watu wakikata mauno kwenye gari ili wahamasishwe waingie uwanjani imefika hatua tunasema fulani anajua sana kuhamasisha , fulani hajui.
Ujinga ujinga sana, full uswahili.
Kwamba wasipo hamasishwa basi uwanjani hawaendi kushabikia timu yao na hao hao utasikia wanasema ohoo hatukuhamasishwa, hamasa ilikiwa ndogo sana hivyo tukaona tusiende. Ujinga.
Wenzetu huko Mbele tunaona timu inavuruta mkia still mashabiki wanajaa uwanjani kuisapoti timu yao ya mwisho kwenye msimamo wa ligi, na timu inashuka Daraja wanashuka nayo, inapanda wanapanda nayo.
Bongo timu ikipigwa mechi mbili mfulukizo eti mashabiki uwanjani hawaendi au lazima wabembelezwe sana.
Hakuna mashabiki seriou wa mpira Tanzakia tuna mashabiki waswahili, full ushabiki wa mdomoni, kwenye mitandao ya kijamii, vijiwe vya kahawa huko ndiko wamejaa. Shabiki muulize mara ya mwisho kununua jezi lini?
Emegine kwamba mashabaki wenye timu yao lazima wahamasishwe, gari izunguke mtaani watu wakikata mauno kwenye gari ili wahamasishwe waingie uwanjani imefika hatua tunasema fulani anajua sana kuhamasisha , fulani hajui.
Ujinga ujinga sana, full uswahili.
Kwamba wasipo hamasishwa basi uwanjani hawaendi kushabikia timu yao na hao hao utasikia wanasema ohoo hatukuhamasishwa, hamasa ilikiwa ndogo sana hivyo tukaona tusiende. Ujinga.
Wenzetu huko Mbele tunaona timu inavuruta mkia still mashabiki wanajaa uwanjani kuisapoti timu yao ya mwisho kwenye msimamo wa ligi, na timu inashuka Daraja wanashuka nayo, inapanda wanapanda nayo.
Bongo timu ikipigwa mechi mbili mfulukizo eti mashabiki uwanjani hawaendi au lazima wabembelezwe sana.
Hakuna mashabiki seriou wa mpira Tanzakia tuna mashabiki waswahili, full ushabiki wa mdomoni, kwenye mitandao ya kijamii, vijiwe vya kahawa huko ndiko wamejaa. Shabiki muulize mara ya mwisho kununua jezi lini?