BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #21
yes hai ndio mashabiki damuMbaya zaidi hao unaofikiri ni mashabiki kindakindaki hawalipii tiketi wanasubiri kulipiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes hai ndio mashabiki damuMbaya zaidi hao unaofikiri ni mashabiki kindakindaki hawalipii tiketi wanasubiri kulipiwa.
Tatizo uchumi my dearMashabiki kindakindaki wa Bongo anataka zile fake,
Nadhani wewe ndiye mjinga kwa vile hujui uchumi wa mashabiki na uwezo wao kulipia mechi.Bongo uswahili ni mwingi sana, na bado sana hata kwenye ushabiki wa Mpira, tuna ushabiki mwingi wa mdomoni wa kubishana kwenye vijiwe vya kahawa na mitandao ya kijamii kama humu.
Emegine kwamba mashabaki wenye timu yao lazima wahamasishwe, gari izunguke mtaani watu wakikata mauno kwenye gari ili wahamasishwe waingie uwanjani imefika hatua tunasema fulani anajua sana kuhamasisha , fulani hajui.
Ujinga ujinga sana, full uswahili.
Kwamba wasipo hamasishwa basi uwanjani hawaendi kushabikia timu yao na hao hao utasikia wanasema ohoo hatukuhamasishwa, hamasa ilikiwa ndogo sana hivyo tukaona tusiende. Ujinga.
Wenzetu huko Mbele tunaona timu inavuruta mkia still mashabiki wanajaa uwanjani kuisapoti timu yao ya mwisho kwenye msimamo wa ligi, na timu inashuka Daraja wanashuka nayo, inapanda wanapanda nayo.
Bongo timu ikipigwa mechi mbili mfulukizo eti mashabiki uwanjani hawaendi au lazima wabembelezwe sana.
Hakuna mashabiki seriou wa mpira Tanzakia tuna mashabiki waswahili, full ushabiki wa mdomoni, kwenye mitandao ya kijamii, vijiwe vya kahawa huko ndiko wamejaa. Shabiki muulize mara ya mwisho kununua jezi lini?
Mtu anapokea laki8 analia kwamba anahujumiwa😅😅Msichojua ni kwamba mashabiki wengi hawafiki uwanjani kutokana na kipato kidogo.
Kuna watu kipato chao Kwa siku ni 5000 mpaka 6000 Tsh hapohapo boss ni mkali.
Mtu huyu ana mke na watoto.
Aende uwanjani akatoe 10000 au 5000 uwanjani inakuwa ngumu.
Hujiulizi mbona kukitangazwa bure watu wanajaa?
Lakini licha ya hiyo bure bado mtu ana kosa 3000 ya kwenda na kurudi mfano
Mbezi mwisho to Taifa.
Tanzania ni nchi yenye watu wenye maisha magumu mno sema tu wameridhika na kuzoea.
Mtu akienda karume hapo anarudi amependeza
Shati 3000/=
Suruali 5000/=
Raba 6000/=
Kapelo 2000/=
Saa 1500/=
Yaani huyooo keshapendeza , tena akiwa na buku 5 analewa na yeye kwani
Kuna pombe zinaitwa visungura ni buku mbili tu
Mkewe nyumbani ana vijora vingi tu havivuki bei ya 7000/= per pic.
Haya maisha wewe acha tu
Halafu kuna watu wanasema Mshahara wa laki nane Kwa mwezi mdogo hapo Hana mtoto Hana mke. Labda mnatetea
Degrees zenu