Wenzetu huko Mbele huwa wanahamasisha mashabiki waende uwanjani au mashabiki wana mapenzi na timu zao hata zikishuka Daraja?

Hizo timu zenyewe Aiko wapi bongo mpira unachezwa kama wanalima kuwa serious mazee utapata shabiki wakati mpira hauna radha yaani timu daraja la sita uingereza inacheza mpira mzuri kuliko simba na yanga
 
Apart from UK labda na South America hata Europe especially sehemu kama Italy watu kwenda viwanjani sio kwa sana....

That said UK mpira ni part ya utamaduni na pass time tangia mtoto akiwa mdogo kwenda uwanja na wazazi family as pass time..., Ila nilishashauri tangia 2014 kuifanya Ligi ya Bongo kuwa a Better Product.., moja ya suggestion ilikuwa kuonyesha kila game kwenye Luninga (Ashukuriwe Azam kwa kufanya hili) Jingine ni kuhamasisha kuwe na timu regional zenye mashabiki na uhusiano na jamii husika...

 
Nadhani wewe ndiye mjinga kwa vile hujui uchumi wa mashabiki na uwezo wao kulipia mechi.
Pia ujue watu wana mapenzi na soka sio haya mambo timu zinafanya kuruka mageti sijui kutumia uchawi wa manara.Huu ndio upuuzi unasababisha watu wapunguze mapenzi na soka

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hao michezo na burudani ni utamaduni wao ndio maana utaona mechi inachezwa saa tano asubuhi watu wanafurika uwanjani baada ya hapo wanaenda kwenye mbio za farasi wanajaa wakimaliza wanaenda kwenye tamasha la Robbie Williams Nako wanajaa wakija kulala wako hoi kesho yake wanaingia kazini wanafanya sana kazi hata hawasimuliani Nini kumetokea Jana🙌🙌🙌🙌
Wazungu ni mbwa kwa starehe ndio maana wa Afghanistan na WA Iran wanakimbilia ulaya astaghafulurahi
 
Eti mpaka Manara, Ali kamwe au Ahmed ally aje akuhamasishe ndio uje uwanjani. Mnawapa wajinga credit Sana hii nchi
 
Kwa vile tumeanza kuufanya mpira wetu uwe 'professional', huko mbele mambo yatabadilika, watu watapenda timu zao.
 
Mtu anapokea laki8 analia kwamba anahujumiwa😅😅
Maisha mtaani huku magumu nyie, sijui ndo yametudumaza ubongo kama wanavyosema! Ila kuna vitu watu wakilalamika huwa nawaangalia sana kuna jamaa mmoja nilimwambia kama Unaona ualimu unalipws kidogo acha kazi uje uraiani tupambane alinyamaza kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…