Wenzetu sikukuu zenu mnatuvunja moyo.

Kamwe hamtauona uzima wa milele,
Kama kweli utakuwepo.
 
Ww kama ni muislam dini yako haikuruhusu kusherehekea sikukuu yyt ya dini zngne..wakikunyima jua wanakusaidia...usilalamike..
 
Wala sijakuelewa labda uandike upya nahisi umejam
 
bandiko lako limenichekesha, kweli wamekutenga?
 
Shida nikikualika utaanza tena kuleta habari yako ya Kuku nimemchinja mimi kwa nini na Vyombo vyangu huwa napikia na kupakulia nguruwe. We kama wataka kula pitia mbona imam wako anakujaga bila mualiko?

Mafunzo ya Itikadi Kali kwa Waislamu yamepigwa marufuku na mufti Zuberi kwenye Fatwa aliyoitoa hivi karibuni.
 
Heeeeee!!! Jamani shida sio kualikwa shida vyuma, vyuma baba vimeshika kutu hata grisi haioni ndani.
 
Wala sijakuelewa labda uandike upya nahisi umejam
Mtaani kwenu kuna Chizi japo mmoja?

Kama yupo basi wewe ni wa pili baada yake.

La kama hakuna kabisa,
Sadiki ya kuwa wewe ndie Chizi pekee hapo (Shangilia!!)

Yaani wote hao wanaojadili Uzi huu wanajadili kisichoeleweka, kweli?

Wallahi! Una kitanda Milembe wewe si bureeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…