Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Ile kachumbari ya Madagascar ya kina Kabudi waliipeleka wapi tuwape NHIFTuendelee kujifukiza kwa nguvu zoteee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kachumbari ya Madagascar ya kina Kabudi waliipeleka wapi tuwape NHIFTuendelee kujifukiza kwa nguvu zoteee
Kama ni chapa tulishapigwa kitambo tu maana wabongo wote alama ya chanjo begani ipo.Tuendelee kusali na kutubu madhambi yetu bhandugu! Yanatengenezwa mazingira ya Chapa ile iliyozungumziwa, badae tutaambiwa kadi zinapotea kwahiyo inabidi chapa ipigwe mkononi au kwenye vipaja vya uso[emoji16][emoji16] keep praying [emoji120] kujifukiza ni mhimu sanaaaa.
HATUTAKI CHANJOOOOO
Kwani shehe Ponda ni kiongozi wa dini gani?Unapozungumzia viongozi wakuu wa waislamu nchi hii, unamzungumzia shehe ponda?shehe ponda anajitambua ndio maana una muona hivyo alivyo.
Au Vita ya kiuchumiTuendelee kujifukiza kwa nguvu zoteee
Ile kachumbari ya Madagascar ya kina Kabudi waliipeleka wapi tuwape NHIF
Bado ile ya kuonyesha ili upewe huduma fulani, hutanunua wala kuuza bila hiyo chapa, hutacheza na wenzako bila hiyo kitu, hutasafiri bila hiyo, sasa ndo sasa imekuja taratibu kimafumbo ili ikigeuzwa kwamba tupgiwe mikononi hakuna mtu ataamini kama ni kamchezo ka chapa, zaidi zaidi wengi wataona afadhali mana walikuwa wanateseka kutembea na kadi zao, na kuna muda hizo kadi zinapotea😁, mkuu hatutaelewa haraka haraka mana mwenyezi Mungu huwafanya watu kuwa na mioyo migumu ili maandiko yatimie mf Farao alipewa moyo mgumu ili maandiko yatimie, Petro kumkana Yesu hakukusudia ila alipewa moyo mgumu bc ili maandiko ya jogoo kuwika yatimie😁😁😁Kama ni chapa tulishapigwa kitambo tu maana wabongo wote alama ya chanjo begani ipo.
Kwahio Magu ndio anawaokoa na huyo mpiga chapa sio mkuu?Bado ile ya kuonyesha ili upewe huduma fulani, hutanunua wala kuuza bila hiyo chapa, hutacheza na wenzako bila hiyo kitu, hutasafiri bila hiyo, sasa ndo sasa imekuja taratibu kimafumbo ili ikigeuzwa kwamba tupgiwe mikononi hakuna mtu ataamini kama ni kamchezo ka chapa, zaidi zaidi wengi wataona afadhali mana walikuwa wanateseka kutembea na kadi zao, na kuna muda hizo kadi zinapotea[emoji16], mkuu hatutaelewa haraka haraka mana mwenyezi Mungu huwafanya watu kuwa na mioyo migumu ili maandiko yatimie mf Farao alipewa moyo mgumu ili maandiko yatimie, Petro kumkana Yesu hakukusudia ila alipewa moyo mgumu bc ili maandiko ya jogoo kuwika yatimie[emoji16][emoji16][emoji16]
😆😆😆😆, hapo sijui mkuuKwahio Magu ndio anawaokoa na huyo mpiga chapa sio mkuu?
Huwezi kugundua leo wala kesho but ni suala la muda🤣🤣🤣, wanaweza kutupandikiza na genetics nyingine Africa yote ikawa na madubwana ya ajabu ambayo watakuwa wanayakonturo wenyewe🤣🤣🤣🤣Hivi ikija kuthibitika kwamba hizo chanjo zinavunja nguvu za kiume,,kupelekea uume wa aliyepata chanjo kutosimama milele ,,
itakuwaje?
Watu hatujakataa chanjo ,,bali tuone utendaji wake kwa waliochanjwa kama hauna athari zozote ktk mwili wa binadamu..
Dismiss case.
na kwa wanawake wao watavunjika nguvu zipi ?Hivi ikija kuthibitika kwamba hizo chanjo zinavunja nguvu za kiume,,kupelekea uume wa aliyepata chanjo kutosimama milele ,,
itakuwaje?
Watu hatujakataa chanjo ,,bali tuone utendaji wake kwa waliochanjwa kama hauna athari zozote ktk mwili wa binadamu..
Dismiss case.
Sure maana hatuna namna sasa tutaenda Kenya kwa sisi wa mipani
COVID 19 vaccinationKama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.
Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?
Umetoa wapi hii ?COVID 19 vaccination
1. Does neither increse nor enhance human immunity against the infection
2. Does not prevent the spread of the virus
3. Does not prevent from getting sick
4. Does not eliminate the need to wear mask, washing hands, social distancing
5. Does not guarantee health safety
The vaccination is useless; it is just a laboratory platform to practice the research on how the viral works and possibility to be battled.
Sisi tutapiga Nairobi hapa karibu
Myanmar wanahitaji Amani sio chanjo tena.Timu za mpira zitazuiwa kushiriki michuano.
Mipakani watalazimishwa
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Wao ni burudani kabisa,,,kwani ulishasikia mwanamke hana nguvu za kike?na kwa wanawake wao watavunjika nguvu zipi ?
Kwani sifa ya mwanaume kamili ni PESA au uume kuwa imara?Una waza ngono tu badala ya kuwaza maisha yako
Hakika Mkuu,,, mambo hayo fukirishi sana..Huwezi kugundua leo wala kesho but ni suala la muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787], wanaweza kutubandikiza na genetics nyingine Africa yote ikawa na madubwana ya ajabu ambayo watakuwa wanayakonturo wenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]