Pea haimati hapa hivi hujui nina mpango wa kuwa singo forever
Anyway nilikuwa namaanisha nani wa kuwasiliana nae maana hata tarehe zenyewe hazieleweki mara 26 mara 28
Pande za wapi bibie! Nipo City Garden napunga upepo na Ndyofu za moto!
mmmh....leo nimevunjwa mabawa.....naanza kuruka kuanzia alhamisi.....wasiliana tafadhali.......
Nime kwenye Dar-express hapa natia timu leo alaf kesho nitakuwa na kikao na lilyflower,black women maana hawa warembo nisipo wajali mimi huko Arusha hakuna wakuwajali lasivyo mtawaangusha bure kule ufukweni Tanga!
Jf hatulali bana!...we vipi ndugu?Mida ya kulala hii, ngoja mie nijikatae.
Gudi nayti Guys
Naamini sina mashaka na mamangu Blaki Womani, pia Lily Flower hadanganyiki na kale kamchezo kako ka chipsi na coke........... halafu nasikia unatafutwa una kesi ya kubaka haaaaa njoo tukuonyeshe kuwa hili sasa ni jiji hahaaaa