Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Pea haimati hapa hivi hujui nina mpango wa kuwa singo forever

Anyway nilikuwa namaanisha nani wa kuwasiliana nae maana hata tarehe zenyewe hazieleweki mara 26 mara 28

tarehe ni 28.....unaweza kuwasiliana na mimi kama uko interested......au na PakaJimmy.......karibu sana......
 
Last edited by a moderator:
utakuwa hujamwambia mathematics zako! Preta anataka ajue unangapi!? Yaani ATM, hela, gari, nyumba na kadhalika ngapi! Funguka Mkuu, Preta sio sweetlady!

Filipo nishataja kila kitu bana mpaka na viwanja ambavyo ninavyo na nyumba na gari na kiasi kwenye account dollar na tshs ila Preta hajafunguka kabisa aise
sweetlady kamu zis wei bana useme mambo yako
 
Last edited by a moderator:
tarehe ni 28.....unaweza kuwasiliana na mimi kama uko interested......au na PakaJimmy.......karibu sana......

Pande za wapi bibie! Nipo City Garden napunga upepo na Ndyofu za moto!
 
Last edited by a moderator:
Filipo nishataja kila kitu bana mpaka na viwanja ambavyo ninavyo na nyumba na gari na kiasi kwenye account dollar na tshs ila Preta hajafunguka kabisa aise
sweetlady kamu zis wei bana useme mambo yako

hebu ongea bana kwa lugha ya pound au euros........kwanza....ili nijue......
 
Filipo nishataja kila kitu bana mpaka na viwanja ambavyo ninavyo na nyumba na gari na kiasi kwenye account dollar na tshs ila Preta hajafunguka kabisa aise
sweetlady kamu zis wei bana useme mambo yako

Basi kuna mahali hujamgusa! Labda ukomae na sweetlady maana bado hakijaeleweka!
 
Last edited by a moderator:
Pande za wapi bibie! Nipo City Garden napunga upepo na Ndyofu za moto!

mmmh....leo nimevunjwa mabawa.....naanza kuruka kuanzia alhamisi.....wasiliana tafadhali.......
 
QUOTE=Preta;5022914]hebu ongea bana kwa lugha ya pound au euros........kwanza....ili nijue......[/QUOTE]


Ewaaaaaaaaah hapo sasa ongea Preta account ya Euro na paunds iko vyema sana na hapo wala usiwe na wasi wasi
We funguka bana nijue naenda endaje Preta e
 
Last edited by a moderator:
Mida ya kulala hii, ngoja mie nijikatae.

Gudi nayti Guys
 
Nime kwenye Dar-express hapa natia timu leo alaf kesho nitakuwa na kikao na lilyflower,black women maana hawa warembo nisipo wajali mimi huko Arusha hakuna wakuwajali lasivyo mtawaangusha bure kule ufukweni Tanga!

Naamini sina mashaka na mamangu Blaki Womani, pia Lily Flower hadanganyiki na kale kamchezo kako ka chipsi na coke........... halafu nasikia unatafutwa una kesi ya kubaka haaaaa njoo tukuonyeshe kuwa hili sasa ni jiji hahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky juhudi zote za kukuwekea na picha ya Kipipi ni kwa ajili ya ile bahasha yako ya madolare......... bado napambana, PM ya mwisho ya Kipipi inamatumaini kwako, ila Erickb52 nasikia ametoa ATM card kwa Kipipi, labda aje kukanusha hapa

Mungi kwa taarifa yako ATM ya Erickb52 haina hata shilingi yaani ni boya tuu
We endelea kufanya mambo yako bana bahasha nyingine inakuja hapa ya madolari
Preta it seems kuwa naandika na wino mweusi aise hata maandishi hayaonekani
sweetlady yaani napata brain konkosheni hapa ninavyokumiss aise[/QUOTE]

Mkuu nitumie tena bahasha nyingine ya madolaree........ manake Kipipi kachanganyikiwa kwako................. ila PM ya muda huu alonitumia anasema eti leo amefanikiwa kuzichezea betri zako ni kweli?
achana na sweetlady bana komaa na ntoto Kipipi nishamtengeneza kakufia kinoma
 
Mida ya kulala hii, ngoja mie nijikatae.

Gudi nayti Guys
Jf hatulali bana!...we vipi ndugu?
All in all mkuu, nimefurahi kuona kuwa uko interested na safari yetu.
Angalia ratiba zako, kama vp utatujuza[@Preta /@Pakajimmy] ili tukuwekee nafasi.

Pamoja broda.
 
Naamini sina mashaka na mamangu Blaki Womani, pia Lily Flower hadanganyiki na kale kamchezo kako ka chipsi na coke........... halafu nasikia unatafutwa una kesi ya kubaka haaaaa njoo tukuonyeshe kuwa hili sasa ni jiji hahaaaa

usijali mwanangu anakuja nimtembeze jiji unajua limebadilika toka limezinduliwa mida ya usiku
 
Back
Top Bottom