Tunatisha mwanangu!heheheheheiya! shemeji anamtahiri mwanae kabla ya mwaka mpya! nitaangalia kama kidonda kitakuwa kimekauka, nataka kuja kwa marefu na mapana! lol! babangu PakaJimmy mpo juuu kupita twin towers!
jamani eeh....tuanze kubukiana hapa hapa.....sio tufike kule tuanze kutoleana mimacho kama kenge.....nani atapenda kupumzika na Preta ufukweni......?
Madam umetupa jiwe gizani hala hala mie simo, ukibukiwa na watano itakuaje? ngoja nione nani wakwanza.
hiyo amount ni double au? Nkitaka kuja na wifey ni vipi? afu sio member JF
Nisije kusikia umebukiwa na wewe
Madam umetupa jiwe gizani hala hala mie simo, ukibukiwa na watano itakuaje? ngoja nione nani wakwanza.
Are you sure that she will come back to Arusha?
Count her out, coz Dar guys seems to have taken her forever!
Hujastukia kwanini harudi!
Wanaoanzia Arusha-Wing ndio watalipa that much!
Kwa wanaotoka maeneo mengine ni kwamba tutachanga kufuatana na service tunayohitaji at that time...
Kwahiyo we njoo na ATM card tu, hakuna haja ya Mchango!
Right?
Nakumbuka mwalimu wa shule ya bondeni aliwahi kuwaambia wanafunzi wake kujamiiana ruksa kabisa............. sharti wajamiiane wao kwa wao tu.......................... sasa na wewe Preta unataka kutushawishi tuseme utapunzika ufukweni na mtu wa huku huku sawa?
Mi ntamchagua mbele kwa mbele.......................... Chilli atanisamehe jamani
njoo na "wife" watatu vijana wetu wapate pakutokea! Lol...
Toa example kama nani vile @Eickb52, Mungi anaogopa selo Arushaone sidhani Mzee wa Rula mmmmhh paka Jimmy labda LiverpoolFC huyu ok Crashwise ?????
Funguka Filipo
Toa example kama nani vile @Eickb52, Mungi anaogopa selo Arushaone sidhani Mzee wa Rula mmmmhh paka Jimmy labda LiverpoolFC huyu ok Crashwise ?????
Funguka Filipo