Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Jiographia ulipata ngapi Madame B, Mulugo at work.

Asante mama,si Mulugo tu,hata Boss mwenyewe kule Oman.

Ila Pitia Nilivyomuuliza paka Jimmy awali.
Nilimuuliza kama mtakodi gari binafsi na kuna uwezekano mkawapitia watu wa Dar mnishtue, ina mana sina akili ya kufahamu kama Toka Arusha mnaachana Segera ili kwenda Tanga?,
Ni uamuzi tu Chalinze to Dar wala si mbali,na akajibu hawatarudi nyuma bali wa Dar tutafute usafiri wetu,ila tukutane Tanga


Sasa wewe unakurupuka tu na kudandia treni kwa Mbele,au umeikutia kati Lily Flower?
Jipange.,
 
Last edited by a moderator:
Siyo kwamba naogopa selo, bali niligundua kule selo wanawake ni wachache wakati midume tupo kama 50. Lily Flower nyie ndo mtakuwa mitego yetu kuwanasa warembo wa kutoka dar, hata kama watakuja na wenza wao mnatakiwa mkomae nao by any means sawa?

Mmmmh hii inahitaji sredi mpya.
 
Asante mama,si Mulugo tu,hata Boss mwenyewe kule Oman.

Ila Pitia Nilivyomuuliza paka Jimmy awali.
Nilimuuliza kama mtakodi gari binafsi na kuna uwezekano mkawapitia watu wa Dar mnishtue, ina mana sina akili ya kufahamu kama Toka Arusha mnaachana Segera ili kwenda Tanga?,
Ni uamuzi tu Chalinze to Dar wala si mbali,na akajibu hawatarudi nyuma bali wa Dar tutafute usafiri wetu,ila tukutane Tanga


Sasa wewe unakurupuka tu na kudandia treni kwa Mbele,au umeikutia kati Lily Flower?
Jipange.,

Ulah la lah, well noted and the game continues Madame B.
 
Last edited by a moderator:
Tunatisha mwanangu!
Tumepanga yamepangika, na haturudi nyuma!
Mwanangu please njoo, naamini hutojuta!
najua utanilinda! chini yako hakuna mwewe atakayesogelea kifaranga chako! nitajitahidi kuja baba!
 
Tokea alienda pale Survey, panaitwaje tena??..sijui brajeck(ile shughuli iliyododa)...!!, hajarudi tena!!
Sijui mambo ya babu Asprin!!

huyo babu Asprin mbona hawezi kuleta madhara kwa mkwewe! Usimpakazie bana!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom