Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha! Jipe moyo, subiri siku ikifika utakaponiona nimeketi mkono wa kuume wa Mungi ndio utazirai! Fanya booking mama, shaurilo!
Hahahaha ni kweli lakini akuuuu unataka nifie tanga baharini? Mie na wewe Mungi wala sidanganyiki. Ikibidi kumpiga Lily Flower na kitu chenye ncha kali nitafanya hivyo ili nibaki na wewe lol.sasa si ndo hao wamebaki? something is better than nothingi bana hahahahaaa
Sitaki nimekuchagua wewe!
Hahahaha! Jipe moyo, subiri siku ikifika utakaponiona nimeketi mkono wa kuume wa Mungi ndio utazirai! Fanya booking mama, shaurilo!
Hahahaha ni kweli lakini akuuuu unataka nifie tanga baharini? Mie na wewe Mungi wala sidanganyiki. Ikibidi kumpiga Lily Flower na kitu chenye ncha kali nitafanya hivyo ili nibaki na wewe lol.
No Mungi! Mi "penda" wewe, only you Mungi!...and plz naomba unielewe darling!Nimesikia Ruttashobolwa anataka kutia timu chuga ajifanye naye wa huku................ hebu fanya buking haraka.... manake nasikia amebakiza nafasi moja
Ukipelekwa selo nakufuata kuonyesha upendo wangu kwako lol.mmmmmh nahisi harufu ya selo hapa.............. Lily Flower hayo siyo maneno yangu.......... jamani nitonye umepotea wapi bana? au ushapigwa kibuti tujue moja kha!
Hahahahaha! Mtume aje nimmalize nacho lolNgoja nimtume Lily Flower aje na kitu chenye ncha kali manake tuna kazi nayo hahaaaa
Ukipelekwa selo nakufuata kuonyesha upendo wangu kwako lol.
Mie bado sijaanza kufunguka, Nipo mitaa ya Raskazone nabarizi, baadae nitakuja kutoa ya rohoni.
Lily Flower nimeshampatia majukumu mkuu............................. wadau wa Arusha tumejizatiti kuhakikisha awamu hii tunapanda mbegu za kiarusha dar.................... ili kufanikisha hilo Mr Rocky ameshafikia pazuri na Kipipi, kwa jinsi huyu mrembo alivyo na haraka nina mashaka kama hata watafika siku yenyewe