Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

sasa si ndo hao wamebaki? something is better than nothingi bana hahahahaaa
Hahahaha ni kweli lakini akuuuu unataka nifie tanga baharini? Mie na wewe Mungi wala sidanganyiki. Ikibidi kumpiga Lily Flower na kitu chenye ncha kali nitafanya hivyo ili nibaki na wewe lol.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha! Jipe moyo, subiri siku ikifika utakaponiona nimeketi mkono wa kuume wa Mungi ndio utazirai! Fanya booking mama, shaurilo!

mmmmmh nahisi harufu ya selo hapa.............. Lily Flower hayo siyo maneno yangu.......... jamani nitonye umepotea wapi bana? au ushapigwa kibuti tujue moja kha!
 
Last edited by a moderator:
mmmmmh nahisi harufu ya selo hapa.............. Lily Flower hayo siyo maneno yangu.......... jamani nitonye umepotea wapi bana? au ushapigwa kibuti tujue moja kha!
Ukipelekwa selo nakufuata kuonyesha upendo wangu kwako lol.
 
Last edited by a moderator:

....nimeona kaka..najua utakuwepo....?[/QUOTE]

mtu chake tunaombeana uzima bana
Mungi taarifa za kiintelijesia zinaonyesha kuwa umehongwa na bahasha ya kaki imekuja kwako kutoka kwa Erickb52 ili ampate Kipipi ufanye kampeni
sweetlady mekumiss wewe halafu penda sana wewe (futa faster hapo)
Lily Flower mbona hata sioni kampeni zako aise nimpate Kipipi
 
Last edited by a moderator:
Mie bado sijaanza kufunguka, Nipo mitaa ya Raskazone nabarizi, baadae nitakuja kutoa ya rohoni.
 
There are currently 16 users browsing this thread. (11 members and 5 guests)

  • Teamo+
    papa Teamo....lobi nokii.....pona nini sasa......
 
Last edited by a moderator:
Preta booking yangu imekuwa confirmed au niendelee kutoa macho kama mjusi alobanwa na mlango
Fanya fanya fasta nisije pata brain konkosheni na kabla Mungi hajaamka
 
Last edited by a moderator:
Lily Flower nimeshampatia majukumu mkuu............................. wadau wa Arusha tumejizatiti kuhakikisha awamu hii tunapanda mbegu za kiarusha dar.................... ili kufanikisha hilo Mr Rocky ameshafikia pazuri na Kipipi, kwa jinsi huyu mrembo alivyo na haraka nina mashaka kama hata watafika siku yenyewe

Sawa mkuu lakini angalia usije ukampatia majukumu makubwa kuliko uwezo wake, bado tunamhitaji sana.
Mmempeleka wapi best yangu Loner?...... Kumbe kuokoka kuzuri hivyo eenh? wapi Mzee wa Rula? Crashwise naye kimya au mmemtenga katika safari hii?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom