Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Yaani Vere Vere nasikia kuna kubikiana haya PakaJimmy mimi nimeishafanya booking kwa Preta ole wako sasa ulete za kuleta sitaki maswali kwenye hili :typing: halafu Blaki Womani wewe haya tu weee subiri sikuletei tena samaki...LOL
 
Last edited by a moderator:
amesha bukiwa Mkuu!
Umeulizwa?
Ukinionea asali wa moyo wangu Mungi mwambie namsalimia sana, mwambie lunch tutapata pale pale kwa jana ...

Afu mwambie Erickb52 na Asprin waache kuntajataja manake wamenifanya nikajing'ata wakati natafuna maji...


Blaki Womani my only and lovely wifi mwaaaaa afu kakako nitonye toka aondoke nyumbani mwisho wa mwezi hajarudi mpaka leo!
 
Last edited by a moderator:
hahahaha. Unajipa mahope? Nimeshawasliana naye kwa Skype, Cmu, Pm n.k. Na kesho ntakuwa Arusha kwa ajili ya kuonana naye

Jamani Nicas Mtei , unatafuta ugomvi na my hubby....
Kumbe unasafiri? Basi mimi na Filipo tutakuja kukuchukua Bus station..... Basi litaingia saa ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Umeulizwa?
Ukinionea asali wa moyo wangu Mungi mwambie namsalimia sana, mwambie lunch tutapata pale pale kwa jana ...

Afu mwambie Erickb52 na Asprin waache kuntajataja manake wamenifanya nikajing'ata wakati natafuna maji...


Blaki Womani my only and lovely wifi mwaaaaa afu kakako nitonye toka aondoke nyumbani mwisho wa mwezi hajarudi mpaka leo!

love you too.................arudi kufanya nini wakati upo busy na Mungi akisaidiwa na Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Hata ctak ugomvi. Kumbuka maelewano yetu.. Ntafika mida ya jioni

Sasa mambo ya follow me on Twitter unayaleta huku? Ongea pole pole Filipo asisikie...
Mgeni uandaliwe msosi gani jioni?
 
Last edited by a moderator:
Yaani Vere Vere nasikia kuna kubikiana haya PakaJimmy mimi nimeishafanya booking kwa Preta ole wako sasa ulete za kuleta sitaki maswali kwenye hili :typing: halafu Blaki Womani wewe haya tu weee subiri sikuletei tena samaki...LOL

heeeeehhhh The Finest ulikuwa wapi mic you sana.........samaki lazima ulete la sivyo Preta humwone hujui mie ndio msemaji wa mwisho hapa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom